Nahitaji mwanaume wa kuzaa nae

Nahitaji mwanaume wa kuzaa nae

Status
Not open for further replies.
Nina dhana moja
Na-assume ww ni msichana mrembo, unaweza vipi kosa mtu/watu wanaokupenda huko iwe mtaani au unapofanya kazi? Au hata marafiki tu wa kiume ulionao?

Maana kama ni mrembo na unaweka vigezo vyako naamini wapo vijana wengi watatimiza hivyo vigezo
Kwa nn unataka kubet huku mtandaoni? Hapa ndio huwa sielewi

Mm nahisi wengi kama sio wote mnaofikia hii stage huwa SIO warembo
 
Nina dhana moja
Na-assume ww ni msichana mrembo, unaweza vipi kosa mtu/watu wanaokupenda huko iwe mtaani au unapofanya kazi? Au hata marafiki tu wa kiume ulionao?

Maana kama ni mrembo na unaweka vigezo vyako naamini wapo vijana wengi watatimiza hivyo vigezo
Kwa nn unataka kubet huku mtandaoni? Hapa ndio huwa sielewi

Mm nahisi wengi kama sio wote mnaofikia hii stage huwa SIO warembo
Au "k" zimetembea kilometre kibao
 
likiwa refu akili hamna, huyo mtoto atakula uref wa baba ake? Tafta mwanaume mwenye akili anaejituma

Habari za ohhh mara mfupi mara nataka mwanaume mrefu handsome

Swali ni je? Wewe na mwanao mtakula huo urefu wake au uhandsome wake?
😂😂😂😂😂Daaah nmekukosea nn bomu lote hili
 
🤣🤣🤣 Ndio mkimbilie pm saivi kabla mtoa mada hajapata maokoto.
PM kule kuna maswali mazito na yakushusha utu wa mtu..
Sasa unafika unaambiwa unafanya kazi gani..?
Mara umri wako...?
Yaani mambo ya kukera tuu

Mi nishaenda PM huko ila ndo hvo yupo kimya 🥺🥺🥺
 
Nahitaji mwanaume wa kunitimizia hili.na pia awe na shida na kama hii pia yaani Nawe anahitaji mtoto.

I have been so lonely,naamini mtoto atakua faraja yangu. Na kunisaidia kuishi Maisha yenye kusudi,na pia atanipa Ari na moral ya kujitafuta zaidi

Kwa upande wangu unaweza kujiuliza Sina mwenza? Ni kweli Sina,sijabahatika kupata mwenza mwenye utu,uelewa na.changamoto ni nyingi sana.siwezi kuelezea zote.

Kwa upande wangu Nina tatizo katika mfumo wangu wa nerve,nimekuwa na disability.mojawapo imenipata ukubwani.so mahusiano na mapenzi,sijui dates mi siwezi,nimezoea kuishi bila mwanaume.

Angalau niwe na mtoto nayo itanisaidia kuleta umaana kwenye Maisha,atakuwa kampani na rafiki kwangu,ndugu pia msaada In the future.

Kwa ufupi nahitaji mtu mwenye nia ya dhati,nae awe na uhitaji huo.
Awe anajishughulisha kujiingiza kipato Kwa shughuli halali
Awe mru mzima anaejielewa na kujua wajibu wake kama baba
Sihitaji mapenzi yako.mapenzi yako yaweke Kwa mtoto
Pesa zako wekeza katika kumtunza mtoto

Mimi Sina kipato,najitafuta na nnachopata ni kidogo.
-naomba malezi ya mtoto yabase kote kwenye pande zote mbili.muda,kujali,nk
- hata ukiingia kwenye mahusiano au ndoa haina tatizo usimsahau mwanao.

Mengine mengi tutajuzana na muhusika

Niko tayari kurekebishwa na kukosolewa kuhusu mawazo yangu.
Yasijekuwa km ya Penina!
 
Au "k" zimetembea kilometre kibao
Wananichanganya sana, maana naona kwa macho yangu jinsi watu walivyo speed kutongoza, watu hadi kwenye ule mbanano wa mwendokasi huwa wanatongoza.
Hadi kwenye jumuiya inaendelea asubuhi watu wanatongoza

Binti yoyote anayejielewa simu yake imejaa mitongozo kutoka kila pande

Sasa hawa ambao hawatongozwi huko wapoje? wananipa mashaka sana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom