Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
je utaeza kuwa mke wa tatu?Wapendwa habari zenu.
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 33, ni mwajiriwa wa sekta binafsi mkoani Rukwa. Mimi ni mkristo na Nina mtoto mmoja. Ninajitokeza kwenu nikiwa nahitaji mwanaume mwenye hitaji kama langu. Awe mkristo mwenye umri kuanzia miaka 33-49, mwenye kipato halali, awe na utayari wa kuwa na familia awe mkweli.
Ikiwa una uhitaji karibu PM
Baba wa mtoto yupo wapi?Wapendwa habari zenu.
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 33, ni mwajiriwa wa sekta binafsi mkoani Rukwa. Mimi ni mkristo na Nina mtoto mmoja. Ninajitokeza kwenu nikiwa nahitaji mwanaume mwenye hitaji kama langu. Awe mkristo mwenye umri kuanzia miaka 33-49, mwenye kipato halali, awe na utayari wa kuwa na familia awe mkweli.
Ikiwa una uhitaji karibu PM
😂😂😂😂😂😂😂Nakuja pm, ila huku nilipo maisha yamenichapa kwahiyo tukikubaliana nahamia Rukwa moja kwa moja au unasemaje mamii?
Ila Rukwa si ndio kuna wachawi wengi?Wapendwa habari zenu.
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 33, ni mwajiriwa wa sekta binafsi mkoani Rukwa. Mimi ni mkristo na Nina mtoto mmoja. Ninajitokeza kwenu nikiwa nahitaji mwanaume mwenye hitaji kama langu. Awe mkristo mwenye umri kuanzia miaka 33-49, mwenye kipato halali, awe na utayari wa kuwa na familia awe mkweli.
Ikiwa una uhitaji karibu PM
All the bestWapendwa habari zenu.
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 33, ni mwajiriwa wa sekta binafsi mkoani Rukwa. Mimi ni mkristo na Nina mtoto mmoja. Ninajitokeza kwenu nikiwa nahitaji mwanaume mwenye hitaji kama langu. Awe mkristo mwenye umri kuanzia miaka 33-49, mwenye kipato halali, awe na utayari wa kuwa na familia awe mkweli.
Ikiwa una uhitaji karibu PM
Wachawi wako kila mahali bossIla Rukwa si ndio kuna wachawi wengi?
ShukraniKila la kheri
Karibu sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aah mkuu njoo Pm ikiwa umevutiwa kama bandiko lisemavyoNipo hapa, tafadhar njoo pm tutayaweka sawa nipo sirias
DiedBaba wa mtoto yupo wapi?
Najitahidi kutumia ile F ya kiswahili mkuuHivi kuhitaji mwanaume ni sawa na kuhitaji mume?[emoji848][emoji848][emoji848]
Very sorry madamDied