hsnaturalfertility
JF-Expert Member
- May 14, 2022
- 399
- 992
Tupia picha best
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili GEPU ndio wengi wanaingia mitini engine 2 zishashuka tayari chuma bado IPO road, apart from all that what about your baby daddies wapo Hai au wameshakufa? Na km wameshakufa unaweza kushea picha za MAKABURI yao? Ili kusudi mlengwa ajihakikishie kua kiwanja hiki hakina MGOGORO wa aina yoyoteNina watoto 2
Kweli kabisa, hapo kabla mechi kuanza tayari 2-0.Anatafuta kina mayele wengine waongeze idadi ya magoli mpaka 5-0 kazi anayo bibie.Miaka 32 lakini bado unachagua muonekano!! Una safari ndefu sanaaa🤸
Badae uje kusema mabinti zako wamelogwa hawaolewi.Sifa ya mwanaume ni Heshima na Uwajibikaji
Urefu, ufupi, wembamba hivo ni vitu extra havina hata thamani
MshikiWifi nmekukosa kaka zangu walikosea nini😭😭😭
Kaka zangu njooni tutetee kdogo
Kiaje sijakuelewaBadae uje kusema mabinti zako wamelogwa hawaolewi.
Kweli inafikirisha Sana.Wanawake mbona hampendani lakini.
Watoto watakuja kuwa wafupi kama mtungi wa gesi 😁😁😁😁Kiaje sijakuelewa
Watoto watakuja kuwa wafupi kama mtungi wa gesi.
Wanadai hatupo romantic mkuuWazee wa migombani huwataki ndio wamekufanya single mother.
Mungu ni wetu soteWatoto watakuja kuwa wafupi kama mtungi wa gesi 😁😁😁😁
Kabisa mkuu japo kuna jamii za watu wafupi kiasili.Ufupi unachangiwa pia na lishe
Thibitisha!Mungu ni wetu sote
Nitafute jukwaa la dini🤸Thibitisha!