Nahitaji Mwenza

Nahitaji Mwenza

Nina watoto 2
Hili GEPU ndio wengi wanaingia mitini engine 2 zishashuka tayari chuma bado IPO road, apart from all that what about your baby daddies wapo Hai au wameshakufa? Na km wameshakufa unaweza kushea picha za MAKABURI yao? Ili kusudi mlengwa ajihakikishie kua kiwanja hiki hakina MGOGORO wa aina yoyote

Hilo swali ni muhimu sana kulijibu maana kuna mwenzio kalambishwa mapanga Goba Centre mpaka amefikwa na umauti kwa HIO kua makini
 
Miaka 32 lakini bado unachagua muonekano!! Una safari ndefu sanaaa🤸
Kweli kabisa, hapo kabla mechi kuanza tayari 2-0.Anatafuta kina mayele wengine waongeze idadi ya magoli mpaka 5-0 kazi anayo bibie.
 
Hujasema kuhusu uzito wako siku hizi wanawake pia wana vitambi. Figure ni ipi namba 1 au 8. Mfumo wa pipa, sema kidogo kuhisu shape yako. Mdogo wangu huwa ananisikiliza nimshauri kitu
 
Kila la kheri mdada, naimani utampata shemeji wa ndoto zako.

Majibu ya humu uyavumilie tu. 🤣
 
Back
Top Bottom