DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Yes Ila teknolojia imekuwa ufupi unaepukikaKabisa mkuu japo kuna jamii za watu wafupi kiasili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes Ila teknolojia imekuwa ufupi unaepukikaKabisa mkuu japo kuna jamii za watu wafupi kiasili.
Hii mechi sio fair kabisa! Kabla ya kuanza tayari 2 - 0Habari ya muda huu Mimi ni mwanamke mwenye miaka 32, ninahitaji mwanaume wa kuwa nae katika mahusiano tukielewana tufunge pingu za maisha.
Sifa zangu ni
- Mweusi
- Mkristo
- Ninafanya bihashara
- Nina watoto 2
- Naishi dar es salaam.
SIFA ZA MWANAUME.
ASANTENI mnakaribishwa pm..
- Rangi yoyote
- Awe mrefu, asiwe na kitambi
- Kabila lolote
- Awe na shughuli inayomuingizia kipato
- Awe na miaka 32 na kuendelea.
- Awe mkristo
- Awe na mtoto au asiwe na mtoto sawa.
- Awe mkoa wowote kasoro Moshi.
Mrembo,Nina watoto 2
Yeeeee mwamki mlifu soMshiki
Wameru ni mahandsome na mabeautifullMimi Msiha. Hata hivyo hamtutambui kama Wachagga. Mnasema sisi Wameru.
Nyie wa Moshi, endeleeni kuchill. Tuchukue chombo.
Tupo hapa sijui tumekosea wapi aiseee watoto wawili kazaa na mtu wa moshiWifi nmekukosa kaka zangu walikosea nini😭😭😭
Kaka zangu njooni tutetee kdogo
Na hamuachagi damu yenu mahali jamani kaka zangu nawalaumu😪Tupo hapa sijui tumekosea wapi aiseee watoto wawili kazaa na mtu wa moshi
Huyu kuna mchagga alimtenda.Na hamuachagi damu yenu mahali jamani kaka zangu nawalaumu😪
Inawezekana alooHuyu kuna mchagga alimtenda.
Siyo vizuri kumwambia hivi mwanamke mwenzio.Miaka 32 lakini bado unachagua muonekano!! Una safari ndefu sanaaa🤸
Xaa itakuwaje wachagga wa sikuizi sio wale wa zamaniInawezekana aloo
Mwizukulu mgikuruLeo umeamua kutoa dozi, si mchezo
Ndo mubadilikeXaa itakuwaje wachagga wa sikuizi sio wale wa zamani
Sawa nimekusikia.Ndo mubadilike
Baba wa mtoto atakuwa ni mchagaSamahani mkuu, mbona kama unachukia wachaga?
Kuna nini?
OkHabari ya muda huu Mimi ni mwanamke mwenye miaka 32, ninahitaji mwanaume wa kuwa nae katika mahusiano tukielewana tufunge pingu za maisha.
Sifa zangu ni
- Mweusi
- Mkristo
- Ninafanya bihashara
- Nina watoto 2
- Naishi dar es salaam.
SIFA ZA MWANAUME.
- Rangi yoyote
- Awe mrefu, asiwe na kitambi
- Kabila lolote
- Awe na shughuli inayomuingizia kipato
ASANTENI mnakaribishwa pm..
- Awe na miaka 32 na kuendelea.
- Awe mkristo
- Awe na mtoto au asiwe na mtoto sawa.
- Awe mkoa wowote kasoro Moshi.
Hii imeenda😉Baba wa mtoto atakuwa ni mchaga
Hakajaolewa haka bado kako masomoniTayari mkuu