Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu akusaidie upate wa ndoto yako.Poleni na Shughuli za siku wana JF,
Nimekuja nikiwa na uhitaji wa kupata mwenza Mwanaume. Mwenye uhitaji na mahusiano aliechoka kua mpweke kama mimi.
Awe mwanaume mwenye umri kuanzia miaka 32 na kuendelea.
Awe anajishughulisha na shughuli halali.
Mwenye hofu ya Mungu.
Asiwe mtumiaji wa kileo,na mambo yanayofanana na ayo.
Awe Mkristo, Akiwa Mpentecoste(na yakufanana na ayo itakua vizuri).
Ni sawa akiwa na mtoto maana na mimi nina mtoto mmoja.
Mimi ni mwanamke wa miaka 30, Ni mama wa binti mmoja.
Nmeajiliwa(private sector) Ninaishi Dar es salaam.
Ninampenda Mungu, Nimekua mpweke kwa mda mrefu sasa.
Karibu Pm.
Ahsante.
Kanambia haachiki.. na unapoona pale yani na mumewe wameendana kila kitu. Mapenzi moto moto hadi wanavakiana mpaka boksa. Imeniuma sana na siwez kusameheMi nadhani ungemsubiri aachike mrudiane.!!
Mlipendezana sana na uduguu shemeji 😹😹
Hapana shemeji usivunjike moyo, hata Nape hakujua km gari ingemuacha siku ya kugawa tuzo mlimani.!!Kanambia haachiki.. na unapoona pale yani na mumewe wameendana kila kitu. Mapenzi moto moto hadi wanavakiana mpaka boksa. Imeniuma sana na siwez kusamehe
Ah hamna ukiona mke bado analeta za baba mtoto huna haja ya kuendelea nae unapiga chini. Huyu matured! Alaf sio tegemez wa uchumi au mawazo! Jiweke humo mkuuMaswali ya msingi ili break code.
😅Kigezo cha kileo hapo ni umetutoa knock out wengi.
Anyway upate wa kufanana nawe. Kila la heri.
Hapana shemeji usivunjike moyo, hata Nape hakujua km gari ingemuacha siku ya kugawa tuzo mlimani.!!
We kuwa mpole yule wako tyuu.!! 😹
Muhimu kujua aiseeBaba ake mtoto yuko wapi?
#YNWA
Naona uko kwenye ule umri pambe wa kutaka anaepumua. Na mtoto juu. Uko vizuriMimi ni mwanamke wa miaka 30, Ni mama wa binti mmoja.
Hivi wewe ni mgeni hapa jf? Kikao cha wanaume wanaojitambua kilishakaa na kutoa maamuzi na maazimio kuwa: "oa single mother at your own risk" AU akuonyeshe kaburi la baba wa mtoto na cheti cha kifo chake! Maana bila hivyo usije hapa unalialia!Poleni na Shughuli za siku wana JF,
Nimekuja nikiwa na uhitaji wa kupata mwenza Mwanaume. Mwenye uhitaji na mahusiano aliechoka kua mpweke kama mimi.
Awe mwanaume mwenye umri kuanzia miaka 32 na kuendelea.
Awe anajishughulisha na shughuli halali.
Mwenye hofu ya Mungu.
Asiwe mtumiaji wa kileo,na mambo yanayofanana na ayo.
Awe Mkristo, Akiwa Mpentecoste(na yakufanana na ayo itakua vizuri).
Ni sawa akiwa na mtoto maana na mimi nina mtoto mmoja.
Mimi ni mwanamke wa miaka 30, Ni mama wa binti mmoja.
Nmeajiliwa(private sector) Ninaishi Dar es salaam.
Ninampenda Mungu, Nimekua mpweke kwa mda mrefu sasa.
Karibu Pm.
Ahsante.
Njoo inbox tusemezane...Poleni na Shughuli za siku wana JF,
Nimekuja nikiwa na uhitaji wa kupata mwenza Mwanaume. Mwenye uhitaji na mahusiano aliechoka kua mpweke kama mimi.
Awe mwanaume mwenye umri kuanzia miaka 32 na kuendelea.
Awe anajishughulisha na shughuli halali.
Mwenye hofu ya Mungu.
Asiwe mtumiaji wa kileo,na mambo yanayofanana na ayo.
Awe Mkristo, Akiwa Mpentecoste(na yakufanana na ayo itakua vizuri).
Ni sawa akiwa na mtoto maana na mimi nina mtoto mmoja.
Mimi ni mwanamke wa miaka 30, Ni mama wa binti mmoja.
Nmeajiliwa(private sector) Ninaishi Dar es salaam.
Ninampenda Mungu, Nimekua mpweke kwa mda mrefu sasa.
Karibu Pm.
Ahsante.
Wanafiki sanaa haoKwanini hii mbinu ya "awe na hofu ya Mungu" mnaitumia sana?
Huenda baada ya miaka 10 tutakuwa tunatolewa mahaliWanaume saiz wamekua kama Ajira