Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwel Mkuu na kuwahoji kama wapo NiDAHuenda baada ya miaka 10 tutakuwa tunatolewa mahali
Nisingekuw nae ningemsaidia, nipo na Gifted girl wangu tunapendana 😬Kwel Mkuu na kuwahoji kama wapo NiDA
Ndoa lin mkuu?Nisingekuw nae ningemsaidia, nipo na Gifted girl wangu tunapendana 😬
Ndoa ni issue nyingine, tupo kwenye uchumba kwanzaNdoa lin mkuu?
We ni falaa😂😂😂Nahitaji mwanamke Alie choka kichezewa anataka atulie Ili ajenge Nyumba yake nimuuzie mabati
🤣🤣🤣Habari naitwa Lucha kutoka baraza la kiswahili Tanzania naomba urekebishe hapo ulipoandika kuwa wewe ni mwanamke wa miaka 30 na uandike wewe ni "Mama wa miaka 30"
kwapamoja tukilinde kiswahili chetu.
Nitumie picha Yako, tafadhaliPoleni na Shughuli za siku wana JF,
Nimekuja nikiwa na uhitaji wa kupata mwenza Mwanaume. Mwenye uhitaji na mahusiano aliechoka kua mpweke kama mimi.
Awe mwanaume mwenye umri kuanzia miaka 32 na kuendelea.
Awe anajishughulisha na shughuli halali.
Mwenye hofu ya Mungu.
Asiwe mtumiaji wa kileo,na mambo yanayofanana na ayo.
Awe Mkristo, Akiwa Mpentecoste(na yakufanana na ayo itakua vizuri).
Ni sawa akiwa na mtoto maana na mimi nina mtoto mmoja.
Mimi ni mwanamke wa miaka 30, Ni mama wa binti mmoja.
Nmeajiliwa(private sector) Ninaishi Dar es salaam.
Ninampenda Mungu, Nimekua mpweke kwa mda mrefu sasa.
Karibu Pm.
Ahsante.
Asante mkuu ila mtoto anamuandiko mzuri sana apunguze vigezo nimuibukie hapo piemu kwenye umri wa mwanaume anaemtaka apunguze miaka mi 5 mi nipo tayari
🤣🤣🤣 Sasa hapo si mtalingana umri, muulize kama hana x kwanza asitupotezee mwenzetuAsante mkuu ila mtoto anamuandiko mzuri sana apunguze vigezo nimuibukie hapo piemu kwenye umri wa mwanaume anaemtaka apunguze miaka mi 5 mi nipo tayari
We bado kabinti bana😍😂😂😂 Mwambie Mimi mmama mwenzie akipata wapentecoste wawili mmoja anipe Mimi tafadhali
Hayakuhusu unachagua sana wanaume. Mm nina hadhi ya kuwa na wewe ila sina kazi ya maanaKumbe mwenye xhida so mm 2
Na hiyo sura mmhNJOO INBOX TUYAJENGE 😎😎😎