Hahahaaaaa. LolAlaa, kuumbee! Mwataka jua habari za kila mmoja, kuanzia yeye mwenyewe, watoto wake, wazazi wake, marafiki/mashosti zake, majirani zake kama kina Mzee Mabruki, wote aliosoma nao kuanzia chekechea hadi chuo! Hahahaaa ndio maana basi mambo hayeshi, ushanipa siri ya kambi sasa Shadeeya😀😂😀🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Amesema amekaribisha wenzie wanneWapo wanne, hujamuelewa nini sasa hapo??
Usipingane na vitabu Shadeeya🤪
Rafiki mbona kama na wewe umepaniki??? Ni wapi amesema kwa mumewe wapo wanne?Hujamuelewa wewe tu, amesema bahati mbaya mumewe ana wake wanne tayari that means including yeye.
Hivi unadhani huyu dada hajui kama mwisho wanne??? Au ushabiki tu???
Khaa huu uzi nilikuwa sijafika kumbe nimetolewa povu namna hii?? Pole sana vitu vidogo hivi vinakupanikisha namna hii lazima una tatizo kubwaAcha kushadadia yasiyo kuhusu sio kila kitu kuchangia mengine usiyo na elimu nayo unayaacha yakupite, hiyo ni typing error kwa MUISLAM yoyote anaelewa hilo kwani ww hua ukosei? Naona kila sehem unacomment kwa kumdhihaki dada wa watu wala haipendezi kumnanga mwanamke mwenzio, Wanawake kwa Wanawake tunapokosea tunarekebishana nasio kushikilia bango alipokosea mwenzio. Isife mahali tubadilike
Halihitaji degree kujua kua amechapia alimaanisha kawapokea wake wenza wenzie watatu nayeye jumla wako wanne Kama QUR AN ilivyosema sasa unashabikia nn.
Kwa Muislam yoyote anajua kua alighafirika na kufanya typing error.
Ila cha ajabu kuna wanaume wapo single yaani hawana hata wa kuegesha, huku kuna wanawake wanamiliki wanaume zaidi ya wawili. Wanataka hadi kutoana roho.Wanaume ni lulu katika hii dunia...ata kama kila mwanaume ataamua kuoa 10 bado wanawake watabaki
Sasa mkisema typing error tu mnapungukiwa nini kwani lazima mmwage povu? Mimi nilifikiri kuwa kuna circumstances ambazo huwa zinamruhusu mtu kuwa na zaidi ya wanne maana kuna sehemu pia niliwahi kusoma kuwa mtume alioa watano japo sina hakika nilitaka nipate uhakika. Poleni sana kama mmeguswa vile ambavyo sikumaanisha mimi maana si kwa mapovu hayaMsipindue QUR AN kwa kufanya shere MWENYEZI MUNGU anatosha na anajua kua huyu dada alighafirika na kufanya typing error ila kwa MUISLAM Mwenye kujitambua anajua kabisa alimaanisha kua kapokea wake wenzie watatu nayeye jumla wako wanne. Lakin mmemshabikia mtadhani nyie hamjawahi kukosea. Mkamilifu Ni MWENYEZI MUNGU pekee badilikeni wala haipendezi
Khantwe
Nima Imma
Iii
Amesema "Mimi ni mke wa kwanza na nimekaribisha wenzangu wanne".Sasa mkisema typing error tu mnapungukiwa nini kwani lazima mmwage povu? Mimi nilifikiri kuwa kuna circumstances ambazo huwa zinamruhusu mtu kuwa na zaidi ya wanne maana kuna sehemu pia niliwahi kusoma kuwa mtume alioa watano japo sina hakika nilitaka nipate uhakika. Poleni sana kama mmeguswa vile ambavyo sikumaanisha mimi maana si kwa mapovu haya
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mkuu...teh[emoji23]Yaani mkuu unasema wewe sio muislam lakini tayar unavyo vyuma viwili???? Na unataka kuongeza wa tatu??
Hebu nisaidie ndugu yangu,Amesema "Mimi ni mke wa kwanza na nimekaribisha wenzangu wanne".
Upo sahihi kusema wapo watano na yeye ndio anatakiwa aombe samahani kwa kuchapia na sio wewe.
Hapo mtoa mada na hizo ID mbili zinazopiga upatu ni mtu mmoja. Haiwezekani wote watokee 2016 hawajacoment kitu waje wacoment kwenye huu Uzi na kusepa.
Nimeshtushwa kuona unajishusha na kosa ni lake. Sio jukumu lako kujiongeza kwamba mtu kakosea. Acha woga bibie simamia ukweli.
Ndugu yangu si unaona walivyonishukia kama mweweNimeshtushwa kuona unajishusha na kosa ni lake. Sio jukumu lako kujiongeza kwamba mtu kakosea. Acha woga bibie simamia ukweli.
Hahahahahahahahhahaha.Mwapenda wenyewe. Kaka hivi ndio munaita Mathna au nimechanganya madawa hapa. 🙈🙈🙈
Mdigo wewe bhana. Mkaza fulani sio??Hahahaaaa. Huwa hayaishi tamu mazungumzo yaani si ajabu basi hapo mkianza enhee wamjua mtoto wa mzee fulani hivi bado yupo pale akianza kuhadithia basi utauliza yuko wapi? Mama yake je? Na Mkaza fulani naye bado yupo pale pale?😅😅 basi tafrani.
Ila tumejizoelea wenyewe hatuoni shida.
Hahahahaahahaha
Hajapingana mbonaUsipingane na vitabu Shadeeya🤪
Ni kweli mkuu, Shadeeya hajapinga mathna wazi wazi ila ameguna kuonyesha kua ni jambo zito kidogo kwake😂Hajapingana mbona
Ewaaaaaa!!!Hahahahahahahahhahaha.
Tunaita Mathnaa, wathulaatha, waruba'a
Hii bahati imenipita wapi aisee.Assalaam Alaykum!
Mm ni mwanamke wa Kiislam umri
(30),Sijawahi Kuolewa na wala sina mtoto
Nahitaji Mume Mwenye Sifa hizi:-
Awe Muislam,
Awe yuko ndani ya Ndoa tayari,
Umri kuanzia 35-50,
Awe anajiweza mwenye kipato,
Nahitaji Mume sharti awe ameshaoa nahitaji (UKEWENZA) niwe mke wa pili, watatu na wa nne kikubwa awe Muislam,Mwenye hofu ya ALLAH SWT na-Muadilifu,
N.B NAOMBA KUTILIA UZITO lazma awe ameshaoa kwasababu ya nature ya kazi yangu Safari za hapa na pale ivyo akiwa hajaoa ntamueka kwenye hatari kubwa ya UCHAFU-ZINAA kwa kuogopa dhima hiyo mbele ya ALLAH SWT ntakapokua safarini najua atakua salama katika zamu za WAKEWENZA wenzangu,
Alie serious na Mwenye sifa hizo tafadhali naomba aje (in-box),
Wabillah Tawfiq!