Nahitaji nijiengue kutoka kwenye elimu niwe mkulima wa mazao ya mpunga na mahindi

Nahitaji nijiengue kutoka kwenye elimu niwe mkulima wa mazao ya mpunga na mahindi

Kwa hio nyie wasenge wenzenu wananyimwa mkopo wanashindwa kusoma nyie mnapewa mikopo mnawaza usenge kusoma hamtaki, hii nchi ya kisenge sana hii na hapo utakuta ni mnufaika wa TASAF qhmamayo
DUUUH!,, HII MAMBO NILIKATAA TOKA MWANZO, USINGEJIBU TU.
 
Sa
Maliza kwanza chuo Kisha utilize akili Yako usije kulu

Mm Nina miak26 Nalima mpunga ninauzoefu wakutosha Nalima kwenye skimu kubwa ila sikushaur uwache chuo Moja Kwa Moja maliza kwanza Kisha uanze kutafuta fursa nyngne elimu na cheti ni miongoni mwa fursa p
Sawa maja!
 
Kuna mwenzio nae anapewa boom anaishi hotelini amepanga room hotelini na kusoma kwenyewe anasoma basi tu kusoma hataki km wewe sasa mliomba mkopo wa nini kuzibia wenzenu tu qhmamayo zenu
Huwezi kuishi,, hotelini kwa kutegemea boom!
 
Unanishauri,, niendelee kushinda njaa kwa kula mihogo.?
Kwa saivi naweza kukodi heka tatu, mbili za mpunga na moja ya mahindi.
Kusitisha masomo aka Postponment of Sudies. Kila chuo kina utaratibu wake unaondoka na unaweza kukaa hata miaka miwili nje ya chuo bila kufukuzwa huku ukipambana na hicho kilimo, usifanye mambo kienyeji bila kuwa na alternative lakini maamuzi ni yako...milioni moja ni rahisi sana kuyeyuka ukishaingia kwenye shughuli za kilimo
 
DUUUH!,, HII MAMBO NILIKATAA TOKA MWANZO, USINGEJIBU TU.
Mnazibia wenzenu wenye nia kweli ya kusoma tatizo serikali nayo ina mambo ya kisenge wanaotaka kusoma inaacha kuwapa mkopo inawapa wasiotaka kusoma qhmamayo zake
 
Kilimo kinahitaji mtaji mkubwa ili uone faida yake soma kwanza.
 
Naona unatupima, kozi unayosoma ni ya miaka 3, upo second year tayari unakuja kuomba ushauri kwetu tena, angalau hata ungekuwa unasoma Medicine (5 years) tungetiririka sana.

Ushauri nimeutoa kisiasa tayari na sio wa moja kwa moja

Kila la kheri
 
Kusitisha masomo aka Postponment of Sudies. Kila chuo kina utaratibu wake unaondoka na unaweza kukaa hata miaka miwili nje ya chuo bila kufukuzwa huku ukipambana na hicho kilimo, usifanye mambo kienyeji bila kuwa na alternative lakini maamuzi ni yako...milioni moja ni rahisi sana kuyeyuka ukishaingia kwenye shughuli za kilimo
Dogo hataki tena kusoma
 
Unanishauri,, niendelee kushinda njaa kwa kula mihogo.?
Kwa saivi naweza kukodi heka tatu, mbili za mpunga na moja ya mahindi.
Heka tatu za mpungagunia 50,ukiuza jwa gunia laji moja utapata 5m,gharama utatumia 1M
Mahindi gunia 15 kwa 70000 utapata 1 m gharama laki tatu.
Kwa ujumla huwezi kupatafaida zaidi ya milioni 3
 
Kusitisha masomo aka Postponment of Sudies. Kila chuo kina utaratibu wake unaondoka na unaweza kukaa hata miaka miwili nje ya chuo bila kufukuzwa huku ukipambana na hicho kilimo, usifanye mambo kienyeji bila kuwa na alternative lakini maamuzi ni yako...milioni moja ni rahisi sana kuyeyuka ukishaingia kwenye shughuli za kilimo
Ahahahaha!,, niliwaza nikiwa kwenye kilimo mahitaji yangu yote ya msingi nitapata! iwe ni chakula, mavazi etc.
Now nipo chuo lakini mazingira niliyonayo si rafiki kabisa namaanisha sina msaada mwingine kutoka kwa ndugu nipo mm tu! Nategemea boom tu kwa kila kitu kiasi chake napitia magumu.
MLOPITA CHUO MNAELEWA.
 
Mnazibia wenzenu wenye nia kweli ya kusoma tatizo serikali nayo ina mambo ya kisenge wanaotaka kusoma inaacha kuwapa mkopo inawapa wasiotaka kusoma qhmamayo zake
Ahahahaha,, omba tena mkopo! MUNGU atakusaidia.
 
Dogo hataki tena kusoma
Wako wengi ambao walidhani hawataki tena kusoma lakini baada ya maisha kuwafundisha wakagundua wanataka kurudi shule ikawa too late....ukipata fursa usiifungie mlango moja kwa moja...kama anaweza kuondoka na kuachana na masomo huku akiwa na mlango wa kurudi na ni mchakato usio na gharama yoyote kuna nini anachopoteza ?
 
Heka tatu za mpungagunia 50,ukiuza jwa gunia laji moja utapata 5m,gharama utatumia 1M
Mahindi gunia 15 kwa 70000 utapata 1 m gharama laki tatu.
Kwa ujumla huwezi kupatafaida zaidi ya milioni 3
GUNIA MOJA LA MPUNGA LAKI MOJA,, ALAFU MAHINDI NI 75000/-
 
Wako wengi ambao walidhani hawataki tena kusoma lakini baada ya maisha kuwafundisha wakagundua wanataka kurudi shule ikawa too late....ukipata fursa usiifungie mlango moja kwa moja...kama anaweza kuondoka na kuachana na masomo huku akiwa na mlango wa kurudi na ni mchakato usio na gharama yoyote kuna nini anachopoteza ?
Dogo hataki shule useless government money
 
Wasomi bhana

Mimi niliacha chuo mwaka wa tatu semister ya pili.
 
Back
Top Bottom