Nahitaji nijiengue kutoka kwenye elimu niwe mkulima wa mazao ya mpunga na mahindi

Nahitaji nijiengue kutoka kwenye elimu niwe mkulima wa mazao ya mpunga na mahindi

💩💩💩🤣💩🤣🤣🤣🤣💩
Kizazi cha SSH kinachekesha sana
Yaani 1m inakufanya uone unaweza acha chuo course ya ualimu uingie kulima?
Sasa mwanangu kwanin usikaze kende hizo ukamaliza chuo then ukaajiriwa kwasababu masomo unayosoma chuo ajira ni uhakika..?
Kaza mbupu hizo maliza chuo ingia mtaani ingiza hicho kimillioni 1 kwenye kilimo wakat unasubiri ajira ya ualimu...
Hata ukipangiwa matakoni mwa Tanzania kilimo ni popote utahimishia nguvu huko. Kumbuka walimu wenzako walioko kazin wanafanya kazi masaa yasiyozidi 4 kwa siku baada ya hapo wanafanya miradi yao binafsi...

Am sorry for nothing nimemtumia lugha ngumu ila ndio hakuna namna, dawa ya kuponya haraka lazima ushikwe tako uchomwe...
Upo sawa,, hujakosea ata.
 
Elimu kwanza pesa inatafutwa pesa huisha pesa inamajanga mengi
 
NAOMBENI MNISAIDIE KIDOGO MCHANGO WA MAWAZOYENU!

Mm ni kijana mwenye umri wa miaka 22! Niko chuo mwaka wa pili, nasomea ualimu wa math & physics.
Baada ya kukusanya pesa kidogo kutoka kwenye boom takribani 1M mpaka sasa, hivyo nahitaji nijiengue kutoka kwenye elimu niwe mkulima wa mazao ya mpunga na mahindi.
WENYE UELEWA MNISAIDIE TAFADHARI ILA MSINITUKANE.
Kama masomo hayakupi shida sana jitaidi umalize chuo brother muhimu sana.. Jitahidi ujiongeze na biashara ambazo unaweza kufanya huku unasoma zitakusaidia..

Kama wewe ni mkaksi kimtindo wakopeshe wanafunzi wenzako kipindi boomlinakaribia kutoka wiki mbili tatu kabla hivi halafu likitoka wanakulipa Elfu 10 kwa 13, Hamsini kwa sitini na tano.

Kama unajua kudai vizuri hii inaweza kuwa biashara lakini pia kua mwangalifu unaweza ukatapeliwa hela yako yote... yote kwa yote tafuta biashara ambayo unaweza kuifanya ukiwa chuo na ukomae nayo..
 
Kama masomo hayakupi shida sana jitaidi umalize chuo brother muhimu sana.. Jitahidi ujiongeze na biashara ambazo unaweza kufanya huku unasoma zitakusaidia..

Kama wewe ni mkaksi kimtindo wakopeshe wanafunzi wenzako kipindi boomlinakaribia kutoka wiki mbili tatu kabla hivi halafu likitoka wanakulipa Elfu 10 kwa 13, Hamsini kwa sitini na tano.

Kama unajua kudai vizuri hii inaweza kuwa biashara lakini pia kua mwangalifu unaweza ukatapeliwa hela yako yote... yote kwa yote tafuta biashara ambayo unaweza kuifanya ukiwa chuo na ukomae nayo..
Asante developer,, kinachonikatisha tamaa mzee wangu mdogo ni mwalimu ila cha ajabu hawezi ata kuhudumia familia yake chakula tu shida.
 
NAOMBENI MNISAIDIE KIDOGO MCHANGO WA MAWAZOYENU!

Mm ni kijana mwenye umri wa miaka 22! Niko chuo mwaka wa pili, nasomea ualimu wa math & physics.
Baada ya kukusanya pesa kidogo kutoka kwenye boom takribani 1M mpaka sasa, hivyo nahitaji nijiengue kutoka kwenye elimu niwe mkulima wa mazao ya mpunga na mahindi.
WENYE UELEWA MNISAIDIE TAFADHARI ILA MSINITUKANE.
Hongera kwakuwa na SHAHUKU KUBWA ya mafanikio.
NB:Inaonekana ujawahi shika pesa nyingi (1,000,000 ndiyo ilikuwa ndoto yako),jipongeze kwa kutimiza lengo.

Wazo la kilimo ni sahihi kabisa. Aliyekushauri muulize
ilimchukua muda gani kufanikiwa?,muulize kuhusu changamoto zaidi kuliko faida!!!

Usiache shule kwa kutumia hisia na uthubutu,shirikisha pia akili (logic)

MUHIMU:Endelea kula Mihogo,jitese km vile huna pesa. Tunza sana ulichonacho (1,000,000 & Elimu).
"MSOMI ANAWEZA KUWA MWALIMU NA KUWA MKULIMA,ILA MKULIMA ANAWEZA KUWA MKULIMA TU"
 
Hongera kwakuwa na SHAHUKU KUBWA ya mafanikio.
NB:Inaonekana ujawahi shika pesa nyingi (1,000,000 ndiyo ilikuwa ndoto yako),jipongeze kwa kutimiza lengo.

Wazo la kilimo ni sahihi kabisa. Aliyekushauri muulize
ilimchukua muda gani kufanikiwa?,muulize kuhusu changamoto zaidi kuliko faida!!!

Usiache shule kwa kutumia hisia na uthubutu,shirikisha pia akili (logic)

MUHIMU:Endelea kula Mihogo,jitese km vile huna pesa. Tunza sana ulichonacho (1,000,000 & Elimu).
"MSOMI ANAWEZA KUWA MWALIMU NA KUWA MKULIMA,ILA MKULIMA ANAWEZA KUWA MKULIMA TU"
Asante kaka,, ila duuuh!
 
Back
Top Bottom