Bueno
JF-Expert Member
- Sep 9, 2022
- 4,114
- 6,449
Siku 2 ndani ya siku 5wanafanya kazi masaa yasiyozidi 4 kwa siku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku 2 ndani ya siku 5wanafanya kazi masaa yasiyozidi 4 kwa siku
Upo sawa,, hujakosea ata.💩💩💩🤣💩🤣🤣🤣🤣💩
Kizazi cha SSH kinachekesha sana
Yaani 1m inakufanya uone unaweza acha chuo course ya ualimu uingie kulima?
Sasa mwanangu kwanin usikaze kende hizo ukamaliza chuo then ukaajiriwa kwasababu masomo unayosoma chuo ajira ni uhakika..?
Kaza mbupu hizo maliza chuo ingia mtaani ingiza hicho kimillioni 1 kwenye kilimo wakat unasubiri ajira ya ualimu...
Hata ukipangiwa matakoni mwa Tanzania kilimo ni popote utahimishia nguvu huko. Kumbuka walimu wenzako walioko kazin wanafanya kazi masaa yasiyozidi 4 kwa siku baada ya hapo wanafanya miradi yao binafsi...
Am sorry for nothing nimemtumia lugha ngumu ila ndio hakuna namna, dawa ya kuponya haraka lazima ushikwe tako uchomwe...
Kulima kumbe,, ni kubeti.?Tunakuangalia unavyotaka kuichezea hela ya Serikali unataka kubet kwenye kilimo?
Million 1 sio hela kwa kipindi hiki usije ukajinyonga tuAhahahaha,, kwann kaka.?
Hujui ingia uone umewahi kuunguza mahindi shambani ukayakaanga yakaiva ukaambua patupu?Kulima kumbe,, ni kubeti.?
😁😁💥😁😁Million 1 sio hela kwa kipindi hiki usije ukajinyonga tu
😁😁💥😁😁Hujui ingia uone umewahi kuunguza mahindi shambani ukayakaanga yakaiva ukaambua patupu?
Duuuh!Maliza chuo uwe na vyeti then kalime
Kama masomo hayakupi shida sana jitaidi umalize chuo brother muhimu sana.. Jitahidi ujiongeze na biashara ambazo unaweza kufanya huku unasoma zitakusaidia..NAOMBENI MNISAIDIE KIDOGO MCHANGO WA MAWAZOYENU!
Mm ni kijana mwenye umri wa miaka 22! Niko chuo mwaka wa pili, nasomea ualimu wa math & physics.
Baada ya kukusanya pesa kidogo kutoka kwenye boom takribani 1M mpaka sasa, hivyo nahitaji nijiengue kutoka kwenye elimu niwe mkulima wa mazao ya mpunga na mahindi.
WENYE UELEWA MNISAIDIE TAFADHARI ILA MSINITUKANE.
Nakwambia ukweli million 1 sio hela kunguni wewe soma shule umalize kwanza ndio uwaze ujinga wako😁😁💥😁😁
Nimeelewa bueno.Nakwambia ukweli million 1 sio hela kunguni wewe soma shule umalize kwanza ndio uwaze ujinga wako
Au kama unaweza fanya vyote kwa pamoja, anza kununua mazao ya kilimo kama mchele weka ndani uza mdogo mdogo.Duuuh!
Asante developer,, kinachonikatisha tamaa mzee wangu mdogo ni mwalimu ila cha ajabu hawezi ata kuhudumia familia yake chakula tu shida.Kama masomo hayakupi shida sana jitaidi umalize chuo brother muhimu sana.. Jitahidi ujiongeze na biashara ambazo unaweza kufanya huku unasoma zitakusaidia..
Kama wewe ni mkaksi kimtindo wakopeshe wanafunzi wenzako kipindi boomlinakaribia kutoka wiki mbili tatu kabla hivi halafu likitoka wanakulipa Elfu 10 kwa 13, Hamsini kwa sitini na tano.
Kama unajua kudai vizuri hii inaweza kuwa biashara lakini pia kua mwangalifu unaweza ukatapeliwa hela yako yote... yote kwa yote tafuta biashara ambayo unaweza kuifanya ukiwa chuo na ukomae nayo..
Wazo zuri.Au kama unaweza fanya vyote kwa pamoja, anza kununua mazao ya kilimo kama mchele weka ndani uza mdogo mdogo.
Hongera kwakuwa na SHAHUKU KUBWA ya mafanikio.NAOMBENI MNISAIDIE KIDOGO MCHANGO WA MAWAZOYENU!
Mm ni kijana mwenye umri wa miaka 22! Niko chuo mwaka wa pili, nasomea ualimu wa math & physics.
Baada ya kukusanya pesa kidogo kutoka kwenye boom takribani 1M mpaka sasa, hivyo nahitaji nijiengue kutoka kwenye elimu niwe mkulima wa mazao ya mpunga na mahindi.
WENYE UELEWA MNISAIDIE TAFADHARI ILA MSINITUKANE.
Asante kaka,, ila duuuh!Hongera kwakuwa na SHAHUKU KUBWA ya mafanikio.
NB:Inaonekana ujawahi shika pesa nyingi (1,000,000 ndiyo ilikuwa ndoto yako),jipongeze kwa kutimiza lengo.
Wazo la kilimo ni sahihi kabisa. Aliyekushauri muulize
ilimchukua muda gani kufanikiwa?,muulize kuhusu changamoto zaidi kuliko faida!!!
Usiache shule kwa kutumia hisia na uthubutu,shirikisha pia akili (logic)
MUHIMU:Endelea kula Mihogo,jitese km vile huna pesa. Tunza sana ulichonacho (1,000,000 & Elimu).
"MSOMI ANAWEZA KUWA MWALIMU NA KUWA MKULIMA,ILA MKULIMA ANAWEZA KUWA MKULIMA TU"
Ataishugulikia nani,, mm nikiwa chuo.?Kodi ekari moja kwanza huku ukiendelea na masomo