Be calm
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 3,766
- 8,959
Hatutaki,siye hatuangaiki na ago...tunasonga mbele mkuuUzi uachwe Kama ulivyo .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatutaki,siye hatuangaiki na ago...tunasonga mbele mkuuUzi uachwe Kama ulivyo .
Bas shikamana,huku nje utaingiza majuto ndaniNa apply MBA
Kuhusu,
Mke wangu ni mpaka kifo kitutenganishee.
Hii kauli ndio mmenitia unyonge na kuogopa kabisa.Bas shikamana,huku nje utaingiza majuto ndani
Hakuna kuokoka,vikojoleo haviokokagiWakati mi nshaokoka 😹
Aloooo shangazi umeona umezidiwa kete😂😂Sifa nnazohitaji:
Umri 40+
awe mfanyabiashara kama ni muajiriwa iwe kazi ya kueleweka
kama ni MBA poa tu (simaanishi masters).
mrefu ili niwe comfortable hata kutembea nae njiani,
akiwa mfupi sawa ila ndo tutakuwa tunatembea kama bata mi mbele ye nyuma!!!!!
sura si kigezo, mwanaume hasifiwi sura
sijaweka sifa nyingi kwani mie sihitaji ndoa....
Pm zitajibiwa kasoro za ID mpya make najua ni wazinguaji
vema ukitumia ID ya siku zote ili iwe rahisi kwangu kujua we ni mtu wa aina gani
na interest zetu kama zinaendana
wadandiaji, washauri na wahubiri siwataki hapa ni love connect!!!!!
Evelyn Salt nini kimekukuta mamaSifa nnazohitaji:
Umri 40+
awe mfanyabiashara kama ni muajiriwa iwe kazi ya kueleweka
kama ni MBA poa tu (simaanishi masters).
mrefu ili niwe comfortable hata kutembea nae njiani,
akiwa mfupi sawa ila ndo tutakuwa tunatembea kama bata mi mbele ye nyuma!!!!!
sura si kigezo, mwanaume hasifiwi sura
sijaweka sifa nyingi kwani mie sihitaji ndoa....
Pm zitajibiwa kasoro za ID mpya make najua ni wazinguaji
vema ukitumia ID ya siku zote ili iwe rahisi kwangu kujua we ni mtu wa aina gani
na interest zetu kama zinaendana
wadandiaji, washauri na wahubiri siwataki hapa ni love connect!!!!!
Tunasubiri muda wa kumtaka yeyote ilimradi awe anavaa suruali.cc Beatrice MwaipajaSifa nnazohitaji:
Umri 40+
awe mfanyabiashara kama ni muajiriwa iwe kazi ya kueleweka
kama ni MBA poa tu (simaanishi masters).
mrefu ili niwe comfortable hata kutembea nae njiani,
akiwa mfupi sawa ila ndo tutakuwa tunatembea kama bata mi mbele ye nyuma!!!!!
sura si kigezo, mwanaume hasifiwi sura
sijaweka sifa nyingi kwani mie sihitaji ndoa....
Pm zitajibiwa kasoro za ID mpya make najua ni wazinguaji
vema ukitumia ID ya siku zote ili iwe rahisi kwangu kujua we ni mtu wa aina gani
na interest zetu kama zinaendana
wadandiaji, washauri na wahubiri siwataki hapa ni love connect!!!!!
Oyaaaa mmetumwa!!!!! 😹Evelyn Salt miaka 11 imepita sasa, vipi ushampata?
Hahahha jamani wafukua makaburi sio wa mchezo mchezo mambo ya 2013 😹Evelyn Salt nini kimekukuta mama
Aisee long time sanaHahahha jamani wafukua makaburi sio wa mchezo mchezo mambo ya 2011 😹
Acha vijana waburudike 😹🤣🤣Hili balaa aisee...futa weka nukta
Eeeh papaaa nimpe papa 😹😂😂😂😂😂😂 kumbe ulikua unatafuta papaaa
Eti Nimejaribu ku figure out hiyo papa, ni nene au nyembamba. 😂😂😂Eeeh papaaa nimpe papa 😹