kianja kyamutwara
JF-Expert Member
- Nov 4, 2020
- 200
- 206
Kuku 2000
Starter 20 @ 63000= 126000
Glower 40@61000= 2440000
Finisher 20@60000= 1200000
Chanjo 10000
Madawa 300000
Ume/joto 300000
Matandiko 100000
Maji 100000
Hiyo gharama halo juu ni 6M jumlisha vifaranga 4M jumla mkuu ni 10M
Mauzo
Kuku mmoja sasa ni 6000 × 2000= 1200000 faida ni 2M over
Nasema uongo ndugu zangu
Ndio hao unakula mtaani kila siku....week 2 tu unakula nyama hatari sanaa...
Anafuga kienyeji zaidi na sio kibiashara kwa jinsi ninavyoona.....Huyu jamaa hana experiences ya kuwa fuga au anafuga kienyeji kama anakuambia kuku anatolewa wiki mbil au tatu , huo si uongo wa wawazi kabsa
Wale kuku wamejaa madawa sanaaa aiseee.....alafu hawana hata radha kabisaaaaa....Embu acha kutudanganya eti hata kuku Wote wakiumwa haifikia 50k, trisul lita Moja 80,000, dawa ya kupuliza bandani TH4, 5000, Dawa yakuingizia colaxan/trimafarm 9000,chanjo newcastle/gumboro 5000, vitamin 12000-15000, protein C 17000, hapo uwape trisul wasipone ukimbilie kwenye madawa mengine mengi si chini ya 12000 gram mia, sasa kwa kuku tuchukulie 2000 mpaka wamalize dozi ya siku tano si chini ya gram 1200 means ni 12000×12= 144,000, nachotaka kusema ni kwamba ufugaji wa broiler madawa yanagharama sanaa unaweza ukachizika wacha kupotosha watu.
PERIOD.
Wamempasua vipande vipandeAisee mlimchomfanya uyu mwamba mpaka amekimbia uzi wake sijui kama atarudi😃😁
Alikuwa anaona kwamba watu hawajui chochote humu ndani ndio maana akatuletea fix hapa...ukiingia JF basi ujue unaingia sehemu ambayo kuna wataalam wa kila aina....Wamempasua vipande vipande
Kweli ukianzisha mada jf lazma uwe nondoAlikuwa anaona kwamba watu hawajui chochote humu ndani ndio maana akatuletea fix hapa...ukiingia JF basi ujue unaingia sehemu ambayo kuna wataalam wa kila aina....
Kabisaaa maana nimeona wengi wanaingia kiutapeli kuwachukua wale wasiojua anything...Kweli ukianzisha mada jf lazma uwe nondo
NISAIDIE NINATAKA KUANZA NA BROILER 200 TU NATAKIWA KUWA NA SH NGAP BANDA NINALO TAYARNani kakudanganya kuku 2000 wanakula viroba 30!!!, kaka mimi nafuga uwezo wangu ni broiler 600 na hao nawatoa kutegemea na soko lilivyo muda huo, kama soko ni zuri nawatoa kuanzia siku 24/25 na hapo wanakuwa weshakula viroba mpaka 22, lakini ukivuta mpaka siku 28 wanakula mpaka viroba 24, baada ya hapo anza kuhesabu maumivu, kwa kuwa bei za mbagala na maeneo ya karibu yake kuku hafiki sh 6000/= mwisho ni 5700/ 5800, kuhusiana na madawa pia si kweli kuku 2000 watumie 50k.
Aliyekupa hiyo hesabu kakupoteza.
Mimi nawafuga broiler nawajua kiasi, hao wadudu wakifika wiki ya tatu wanakula mpaka waweza changanyikiwa, kwangu wakifika muda huo lazima wadondoshe kiroba kila siku.
Una sherehe au kwa ajili ya biashara?NISAIDIE NINATAKA KUANZA NA BROILER 200 TU NATAKIWA KUWA NA SH NGAP BANDA NINALO TAYAR
Broila 200 watumia Chakula mifuko 8NISAIDIE NINATAKA KUANZA NA BROILER 200 TU NATAKIWA KUWA NA SH NGAP BANDA NINALO TAYAR
Mwana anataka kuuza vifaranga
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwana anataka kuuza vifaranga
Mkuu,madawa mimi nafuga kuku 500,ila madawa haizidi 20,000.Embu acha kutudanganya eti hata kuku Wote wakiumwa haifikia 50k, trisul lita Moja 80,000, dawa ya kupuliza bandani TH4, 5000, Dawa yakuingizia colaxan/trimafarm 9000,chanjo newcastle/gumboro 5000, vitamin 12000-15000, protein C 17000, hapo uwape trisul wasipone ukimbilie kwenye madawa mengine mengi si chini ya 12000 gram mia, sasa kwa kuku tuchukulie 2000 mpaka wamalize dozi ya siku tano si chini ya gram 1200 means ni 12000×12= 144,000, nachotaka kusema ni kwamba ufugaji wa broiler madawa yanagharama sanaa unaweza ukachizika wacha kupotosha watu.
PERIOD.
Hongera Mkuu, kufuga Kuku 500 na madawa yasizidi elf 20 sio Jambo dogo, kama hutojali tusaidie ni dawa zipi unazotumia hadi gharama isifike elf 20 niko curiousMkuu,madawa mimi nafuga kuku 500,ila madawa haizidi 20,000.
Kuna madasa kibao umeyataja sijawahi kuyatumia kabisa.
Mkuu kwa hesabu hizo na hiyo faida wewe umeshindwaje hata ujikute imebaki na mabanda matupu?Brother... Unaposema Pesa ndefu mnoo ni kiasi gani hiko? Ni kweli kifaranga kimoja ni 2000/= Hivyo vifaranga 2000 ni 4M.
Chakula cha kulisha vifaranga 2000 tutahitaji viroba 30, ambavyo bei itacheza kwenye 53,000/ hadi 62,000/= kwa kiroba. Tufanye 1.9M.
2M + 1.9M = 4M, Madawa hayana bri kabisaa na ni hadi kuku watakapoumwa, hata kuku wote wakiumwa madawa hayatazidi Tsh 50K.
Ok tuje kwa upande wa faida, kuku mmoja 6500/=, kwaiyo kuku 2000 ni 13,000,000/=.
13,000,000 - 4,000,000 = jibu utakua nalo [emoji28]
Kumbuka kuku hao tutauza baada ya week 2 hadi 3.
Sasa kaka unaposema pesa ndefu bila ya kuweka maelezo yaliojitosheleza mtu hatokuelewa ni urefu upi huo. Kumbuka pia mabanda yanaingiza kuku 6000.
Huu ni ufugaji biashara mkuu wenye faida, karibu tufuge kibiashara.
Ila mimi nashauri hawa broiler ukimaliza kuwapa grower rudia tena kuwapa starter, achana kabisa na finisher mtakuja kunishukuru.Broila 200 watumia Chakula mifuko 8
,Starter 2(68000),grower 2(66000),finisher 4(65000)
Bei zinatifautiana kulingana na maeneo finisher zina bei ndogo kuliko starter.
Madawa weka 50,000 pemben
Maji na umeme ....15000
Mkaa wa kujenga joto bandan...10,000
Lenga kuwauza mapema wakiwa na wiki 3 wakiwa wamekula mifuko 6-7
Mkuu zeus, hili ni neno kama hutojali hebu tujuze mbinuMkuu,madawa mimi nafuga kuku 500,ila madawa haizidi 20,000.
Kuna madasa kibao umeyataja sijawahi kuyatumia kabisa.
Kiongozi naomba nikuulize kidogo. Pale wanapokuwa wanadondosha mpaka kiroba kwa siku upatikanaji wa mbolea unakuwaje???Nani kakudanganya kuku 2000 wanakula viroba 30!!!, kaka mimi nafuga uwezo wangu ni broiler 600 na hao nawatoa kutegemea na soko lilivyo muda huo, kama soko ni zuri nawatoa kuanzia siku 24/25 na hapo wanakuwa weshakula viroba mpaka 22, lakini ukivuta mpaka siku 28 wanakula mpaka viroba 24, baada ya hapo anza kuhesabu maumivu, kwa kuwa bei za mbagala na maeneo ya karibu yake kuku hafiki sh 6000/= mwisho ni 5700/ 5800, kuhusiana na madawa pia si kweli kuku 2000 watumie 50k.
Aliyekupa hiyo hesabu kakupoteza.
Mimi nawafuga broiler nawajua kiasi, hao wadudu wakifika wiki ya tatu wanakula mpaka waweza changanyikiwa, kwangu wakifika muda huo lazima wadondoshe kiroba kila siku.