Hahaa!Nilifugaga kuku 150 kipindi hiyo nimemaliza form six 2008
Nilijikuta nauza mpaka nguo zangu na viatu ili ninunue pumba za kuku kwa siku walikuwa wanakula debe 1.5 na maji ndoo 3 sio kwa jua lile pale tegeta
Balaa nkaja nkaumwa nkalazwa muhimbili daa kila siku napata simu kutoka kwa sister kuku wanaumwa wanasinzia na msosi umekata
Ikabidi nitoroke hospital nkaenda kuangalia kuku wangu,
Kwa njaa waliyokuwa nayo aisee na nilikuwa nimevaa bukta nilidonjolewa miguuni nilitoka na vidonda kama 15 yan nimetoka bandan dam zinanivuja miguuni
Aisee ufugaji au kilimo nyie sikieni tu
Hahahaha kwa hyo kuku kwa hasira ya kutowapa chakula wakaona Bora wakukule mfugajiNilifugaga kuku 150 kipindi hiyo nimemaliza form six 2008
Nilijikuta nauza mpaka nguo zangu na viatu ili ninunue pumba za kuku kwa siku walikuwa wanakula debe 1.5 na maji ndoo 3 sio kwa jua lile pale tegeta
Balaa nkaja nkaumwa nkalazwa muhimbili daa kila siku napata simu kutoka kwa sister kuku wanaumwa wanasinzia na msosi umekata
Ikabidi nitoroke hospital nkaenda kuangalia kuku wangu,
Kwa njaa waliyokuwa nayo aisee na nilikuwa nimevaa bukta nilidonjolewa miguuni nilitoka na vidonda kama 15 yan nimetoka bandan dam zinanivuja miguuni
Aisee ufugaji au kilimo nyie sikieni tu
Hili sio banda ni godown...hewa haingii,halafu kwenye cost mhh..sio realistic kabisa,jamaa kachagua upande ambao cost ni costant..ila upande wa cost za chakula ni kubwa mno...Kwenye ujenzi wa mabanda umechemka ndugu yangu.kwa kawaida banda la kuku linatakiwa liwe na Kazi mbili tu zA tofali
Hata wastaafu nao wanastuka siku hizi...Hili sio banda ni godown...hewa haingii,halafu kwenye cost mhh..sio realistic kabisa,jamaa kachagua upande ambao cost ni costant..ila upande wa cost za chakula ni kubwa mno...
HII DILI LABDA UMUOTEE MSTAAFU ANAWEZA KUKURUPUKA!
Mkuu Nahitaji kuteta nawe pembeniIla mimi nashauri hawa broiler ukimaliza kuwapa grower rudia tena kuwapa starter, achana kabisa na finisher mtakuja kunishukuru.
Tena chakula cha mchina ndio chenyewe hakuna harufu ya kinyesi wala huwezi kugombana na majirani.
Achana na vyakula wanavyoweka chumvi eneo lote linanuka kinyesi cha kuku.
Hii mbinu ushawahi itumia Mkuu,vipi matokeo yake yalikuaje?Ila mimi nashauri hawa broiler ukimaliza kuwapa grower rudia tena kuwapa starter, achana kabisa na finisher mtakuja kunishukuru.
Tena chakula cha mchina ndio chenyewe hakuna harufu ya kinyesi wala huwezi kugombana na majirani.
Achana na vyakula wanavyoweka chumvi eneo lote linanuka kinyesi cha kuku.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilifugaga kuku 150 kipindi hiyo nimemaliza form six 2008
Nilijikuta nauza mpaka nguo zangu na viatu ili ninunue pumba za kuku kwa siku walikuwa wanakula debe 1.5 na maji ndoo 3 sio kwa jua lile pale tegeta
Balaa nkaja nkaumwa nkalazwa muhimbili daa kila siku napata simu kutoka kwa sister kuku wanaumwa wanasinzia na msosi umekata
Ikabidi nitoroke hospital nkaenda kuangalia kuku wangu,
Kwa njaa waliyokuwa nayo aisee na nilikuwa nimevaa bukta nilidonjolewa miguuni nilitoka na vidonda kama 15 yan nimetoka bandan dam zinanivuja miguuni
Aisee ufugaji au kilimo nyie sikieni tu
Hizi hesabu huendelea kubaki kwenye makaratasi lakini uhalisia hutokaa uuone.Brother... Unaposema Pesa ndefu mnoo ni kiasi gani hiko? Ni kweli kifaranga kimoja ni 2000/= Hivyo vifaranga 2000 ni 4M.
Chakula cha kulisha vifaranga 2000 tutahitaji viroba 30, ambavyo bei itacheza kwenye 53,000/ hadi 62,000/= kwa kiroba. Tufanye 1.9M.
2M + 1.9M = 4M, Madawa hayana bri kabisaa na ni hadi kuku watakapoumwa, hata kuku wote wakiumwa madawa hayatazidi Tsh 50K.
Ok tuje kwa upande wa faida, kuku mmoja 6500/=, kwaiyo kuku 2000 ni 13,000,000/=.
13,000,000 - 4,000,000 = jibu utakua nalo [emoji28]
Kumbuka kuku hao tutauza baada ya week 2 hadi 3.
Sasa kaka unaposema pesa ndefu bila ya kuweka maelezo yaliojitosheleza mtu hatokuelewa ni urefu upi huo. Kumbuka pia mabanda yanaingiza kuku 6000.
Huu ni ufugaji biashara mkuu wenye faida, karibu tufuge kibiashara.