Car4Sale Nahitaji Premio New Model

Maelezo yako poa sana nimekupata mkuu,mi nnlidhani ni nuksi [emoji3]
 
Mkuu sorry nakukatisha.... Sit ndo gari gani?
 
....dalali analenga akampige ng'ombe!
.maisha ndivyo yalivyo!
 
numesoma comments humu nimebaki mdomo wazi, kikawaida kabisa tuna amini wengi waliojiunga na JF ni intellectuals lakini kwa comments hizi kutoka kwenye hii post basi kama taifa tuna safari ndefu sana.
post inazungumzia ujitaji wa gari iliyotumika nchini yenye namba kuanzia D , lakini wanaocomment wanaanza tena kuleta story za kuagiza gari, hivi mnasomaga kwanza post au kukurupuka tu kucomment? kwa hyo bei unaweza pata mkononi mwa MTU ila ikague vizuri gari kabla hujaamua kuinunua!
 
....teh hee hee..,kwamba umekuja kwa id nyingine ama umejivika uwakili???...stori ya gari 'iliyotumika nchini' umezileta wewe;soma post ya awali kabisa!..na,hata hiyo 'iliyotumika nchini' iliagizwa;ama tuna viwanda vya magari siku hizi hapa nchini?
...mwisho,kuhusianisha comments za post hii na safari yetu kama taifa,ni uzuzu!..just don't play smart while you're not!(dadeki,viroba vimeniwezesha kuandika 'kidhungu' leo!)
 
Kwa mil 9 kuna mawili:

1. Upate gari mbovu itakayokufia mikononi; au

2. Upate mtu mwenye shida na anayeuza hiyo gari kwa bei hiyo (ingawa na utu uzima wangu SIJAWAHI kuona Premio new model inauzwa kwa 9 m).
 
A
Kwa mil 9 kuna mawili:

1. Upate gari mbovu itakayokufia mikononi; au

2. Upate mtu mwenye shida na anayeuza hiyo gari kwa bei hiyo (ingawa na utu uzima wangu SIJAWAHI kuona Premio new model inauzwa kwa 9 m).
Asante kwa ushauri
 
 
Mkuu samahani kidogo nje ya mada. Barclays Plc wanatoa interest ya fixed account 13% kwa miezi 6 una uhakika na hili?
 
Gari ipo Premio new modeli (Engine ndogo) bei ni Tsh.14m Namba DJN....
Njoo inbox
 
Umechelewa kaka,nimeiuza asubuhi. ..hapa nnayo Raum New Model
 
Kila mtu huwa anakuja na lake huku JF. Wanasema akili za kuambiwa changanya na zako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…