Nakwambia.. if you will miraculously pull this through to finish line...Hakuna kukimbia mkuu. Labda yeye ndiye akimbie.
Usiogope mkuu.
Na hivi leo kuna baridi jiji la Kunenge, jitahidi mkuu hakika hutatoka bure.
sihitaji rafiki wa kike kwa sababu ya baridi la leo bali nahitaji uwepo wake mpaka kifo kitakapotutenganisha mkuu.
Pamoja mkuu.Nakwambia.. if you will miraculously pull this through to finish line...
Nitapledge 250k kwenye hitimisho.
Stay focused Law Man
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ahsante mkuu.Kila lenye heri mkuu.
Big mistake. Mtoa mada atakosa mengi.Huyu sio Ke ...mkuu tuaachie uwanja wetu baana.
Usipende kua serious sana, maisha mafupi haya, halafu nilikua nauboost uzi wake si umeona mmesogea.unamjazia mwenzio comments ambazo hazihusiani na Ads yake we vunga at most ushamuelewa nini anamaanisha kama ni muhusika wa anaemuhitaji basi mfate PM mkuu
Duuh nimekosa bahati...Miaka yangu 18[emoji125][emoji125][emoji125
Mhh πππDuuh nimekosa bahati...Miaka yangu 18[emoji125][emoji125][emoji125]
Mkuu ahsante sana kwa ushauri wako. Nimejifunza kitu tayari.Big mistake. Mtoa mada atakosa mengi.
.....until proven guilty.. π Nasema that's a fine lady ..na akili sahihi.
Kashasha nshamaliza.. kazi kwa mtoa mada
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Eti sio Ke, nimecheka hapa,Huyu sio Ke ...mkuu tuaachie uwanja wetu baana.
Hakika mkuu. Nimekubali na nakushukuru sana kwa hilo.Usipende kua serious sana, maisha mafupi haya, halafu nilikua nauboost uzi wake si umeona mmesogea.
Unalinda taswira yako kwa jamii!!?Aisee. Samahani mkuu ingawa nina imani kubwa sana kwamba watumiaji wengi wa JF ni wasomi na wanaimudu hii lugha vizuri hata kama siyo sana ila wanaielewa kwa kiasi fulani.
Sawa ingawa matumizi ya lugha ya Kiingereza haijaathiri haki yako yoyote mkuu.
Sawa nimekuelewa mkuu.
Kuweka picha hapa sipo tayari kwa sababu ya kulinda twasira yangu katika jamii ingawa atakayekuja PM tutabadilishana mawasiliano na kama atahitaji picha nitamtumia bila kipingamizi chochote.
π hiiiiiiiiio bhagosha.. eehUnalinda taswira yako kwa jamii!!?
Jamii inakukataza wewe kua na mwenza? Au una hofu gani kuu uliyonayo kwa jamii yako?
Jiaminishe ili tukuamini.
Nakuona Nakuonaaaaa
Yes.Unalinda taswira yako kwa jamii!!?
Hainikatazi ingawa sipendi kutuma picha kwenye mitandao kwa sababu watu hawachelewi kutumia hizo picha kukuchafua n.kJamii inakukataza wewe kua na mwenza? Au una hofu gani kuu uliyonayo kwa jamii yako?
Sidhani kama picha ni jambo la msingi sana la kukufanya uniamini kwani hata nikiweka picha utajuaje kama ni mimi mkuu? Niwaombe tu kwamba kama mtu yupo tayari nitamtumia kwa njia nyingine ila siyo hapa.Jiaminishe ili tukuamini.
π Nisamehe tu... Nina ushabiki mkubwa kwenye hili...Nakuona Nakuonaaaaa
Tuzidi kumuomba Mungu mkuu. Hakika jambo jema litatokea hapa.π Nisamehe tu... Nina ushabiki mkubwa kwenye hili...
Nishaweka hadharani moaka pledge Mkuu..
Uzi huu lazima uzae matunda mema
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sasa mpaka Hapa Law Man unatakiwa kuziro-in.. na uache kuzungumza na the jury ... Ufanye cross na Mtamaduni.Yes.
Hainikatazi ingawa sipendi kutuma picha kwenye mitandao kwa sababu watu hawachelewi kutumia hizo picha kukuchafua n.k
Sidhani kama picha ni jambo la msingi sana la kukufanya uniamini kwani hata nikiweka picha utajuaje kama ni mimi mkuu? Niwaombe tu kwamba kama mtu yupo tayari nitamtumia kwa njia nyingine ila siyo hapa.
Sawa mkuu. Nimekuelewa sana.Sasa mpaka Hapa Law Man unatakiwa kuziro-in.. na uache kuzungumza na the jury ... Ufanye cross na Mtamaduni.
Chonde chonde iwe hapa hapa mashabiki tuone.. sio mnaenda imbobo kutunyanganya uhondo. π
1,2,3 Go!
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app