Nahitaji rafiki wa kike ambaye atakuwa mke wangu ziku za baadaye

Nahitaji rafiki wa kike ambaye atakuwa mke wangu ziku za baadaye

Yes.

Hainikatazi ingawa sipendi kutuma picha kwenye mitandao kwa sababu watu hawachelewi kutumia hizo picha kukuchafua n.k

Sidhani kama picha ni jambo la msingi sana la kukufanya uniamini kwani hata nikiweka picha utajuaje kama ni mimi mkuu? Niwaombe tu kwamba kama mtu yupo tayari nitamtumia kwa njia nyingine ila siyo hapa.

Ukiweka picha ya uongo inamaanisha kila ulichokiandika ni uongo pia itamaanisha hata wewe pia ni wa uongo,

Anyway, kwanini umechagua mtandaoni?
Mtaani kuna nini?
(Utasema wa mtandaoni ndio hao hao wa mitaani)
Hello, wa mtaani mnaonana mtandaoni ni hisia za muandiko.
 
Ukiweka picha ya uongo inamaanisha kila ulichokiandika ni uongo pia itamaanisha hata wewe pia ni wa uongo,
Nachukia uongo sana. Hivyo sipendi nionekane muongo. Kama unataka picha naweza kukutumia PM
Anyway, kwanini umechagua mtandaoni?
Kwa sasa mtandao ni sehemu ya jamii. Bila jamii hakuna mtandao ingawa jamii ilikuwepo tangu zamani bila ya mitandao ya kijamii. Hivyo kwangu kama mtandao ni sehemu ya jamii naona ni sehemu sahihi kabisa.
Mtaani kuna nini?
Jamii ni sehemu ya mtaani pia. Hivyo hakuna kilichoharibika kwa sababu nipo mtaani bado.
(Utasema wa mtandaoni ndio hao hao wa mitaani)
Hello, wa mtaani mnaonana mtandaoni ni hisia za muandiko.
Upendo haujali kama mnaonana au haumuonani. Moyo ulivyoumbwa ni kwamba unaweza kupenda hata kama hamujaonana mfano kuna watu tuna upendo mkubwa sana kwa MUNGU ingawa hatujawahi kumuona.
 
Nachukia uongo sana. Hivyo sipendi nionekane muongo. Kama unataka picha naweza kukutumia PM

Kwa sasa mtandao ni sehemu ya jamii. Bila jamii hakuna mtandao ingawa jamii ilikuwepo tangu zamani bila ya mitandao ya kijamii. Hivyo kwangu kama mtandao ni sehemu ya jamii naona ni sehemu sahihi kabisa.

Jamii ni sehemu ya mtaani pia. Hivyo hakuna kilichoharibika kwa sababu nipo mtaani bado.

Upendo haujali kama mnaonana au haumuonani. Moyo ulivyoumbwa ni kwamba unaweza kupenda hata kama hamujaonana mfano kuna watu tuna upendo mkubwa sana kwa MUNGU ingawa hatujawahi kumuona.

Ushawahi kumpenda mtu ambae hujawahi kumuona?
Ilikuwaje?
 
Jibu lako ndio litafanya na mimi nikujibu
Katika usomaji wangu katika mitandao ya kijamii eg. quora ambapo niliona hicho kitu najua kuwa LGBT maana yake (lesbian, gay,bisexual and transgender). Pia nipo tayari kupokea maana nyingine ya LGBT.
 
Katika usomaji wangu katika mitandao ya kijamii eg. quora ambapo niliona hicho kitu najua kuwa LGBT maana yake (lesbian, gay,bisexual and transgender). Pia nipo tayari kupokea maana nyingine ya LGBT.
Enjoy your time,
I'm out here.
 
Una elimu ya chuo na umejiajiri, unamtaka mwanamke ambaye ni Daktari, Mwanasheria, Mwalimu au Muhasibu,

Umeshindwa nini kusema upo level gani ya chuo na umejiajiri kwenye sekta ipi,

Pia weka picha zako mbili,
Moja Passport size na ingine iwe full picture.
kamishina imigresheni ๐Ÿ˜… ๐Ÿ˜…
 
Back
Top Bottom