Misako
JF-Expert Member
- Jul 15, 2020
- 1,143
- 1,399
๐๐๐ Mkuu anadhihirisha usomi wake๐๐Kwanini umejibu kwa kiingereza wakati tangazo lako umelileta kwa kiswahili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐ Mkuu anadhihirisha usomi wake๐๐Kwanini umejibu kwa kiingereza wakati tangazo lako umelileta kwa kiswahili?
Yes.
Hainikatazi ingawa sipendi kutuma picha kwenye mitandao kwa sababu watu hawachelewi kutumia hizo picha kukuchafua n.k
Sidhani kama picha ni jambo la msingi sana la kukufanya uniamini kwani hata nikiweka picha utajuaje kama ni mimi mkuu? Niwaombe tu kwamba kama mtu yupo tayari nitamtumia kwa njia nyingine ila siyo hapa.
Culture me, Nimeona sehemu umesema wewe ni KE, so ni nini kilikushawishi mpaka ukaamua kuwa LGBT member?Nakuona Nakuonaaaaa
Unahisi kuna matunda gani hapa yatazalika?๐ Nisamehe tu... Nina ushabiki mkubwa kwenye hili...
Nishaweka hadharani moaka pledge Mkuu..
Uzi huu lazima uzae matunda mema
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Unaelewa nini kuhusu LGBT?Culture me, Nimeona sehemu umesema wewe ni KE, so ni nini kilikushawishi mpaka ukaamua kuwa LGBT member?
Uzi ufungwe siti imesha waiwa tayariGood Luck finding your other half....[emoji854][emoji6][emoji854][emoji6]
Nachukia uongo sana. Hivyo sipendi nionekane muongo. Kama unataka picha naweza kukutumia PMUkiweka picha ya uongo inamaanisha kila ulichokiandika ni uongo pia itamaanisha hata wewe pia ni wa uongo,
Kwa sasa mtandao ni sehemu ya jamii. Bila jamii hakuna mtandao ingawa jamii ilikuwepo tangu zamani bila ya mitandao ya kijamii. Hivyo kwangu kama mtandao ni sehemu ya jamii naona ni sehemu sahihi kabisa.Anyway, kwanini umechagua mtandaoni?
Jamii ni sehemu ya mtaani pia. Hivyo hakuna kilichoharibika kwa sababu nipo mtaani bado.Mtaani kuna nini?
Upendo haujali kama mnaonana au haumuonani. Moyo ulivyoumbwa ni kwamba unaweza kupenda hata kama hamujaonana mfano kuna watu tuna upendo mkubwa sana kwa MUNGU ingawa hatujawahi kumuona.(Utasema wa mtandaoni ndio hao hao wa mitaani)
Hello, wa mtaani mnaonana mtandaoni ni hisia za muandiko.
Uzi ufungwe siti imesha waiwa tayari amebaki mleta mada kujiongeza kidogo
Ingekuwa busara kama ungenijibu kwaza. Halafu ukaniuliza hilo swali lako.Unaelewa nini kuhusu LGBT?
Nachukia uongo sana. Hivyo sipendi nionekane muongo. Kama unataka picha naweza kukutumia PM
Kwa sasa mtandao ni sehemu ya jamii. Bila jamii hakuna mtandao ingawa jamii ilikuwepo tangu zamani bila ya mitandao ya kijamii. Hivyo kwangu kama mtandao ni sehemu ya jamii naona ni sehemu sahihi kabisa.
Jamii ni sehemu ya mtaani pia. Hivyo hakuna kilichoharibika kwa sababu nipo mtaani bado.
Upendo haujali kama mnaonana au haumuonani. Moyo ulivyoumbwa ni kwamba unaweza kupenda hata kama hamujaonana mfano kuna watu tuna upendo mkubwa sana kwa MUNGU ingawa hatujawahi kumuona.
Jibu lako ndio litafanya na mimi nikujibuIngekuwa busara kama ungenijibu kwaza. Halafu ukaniuliza hilo swali lako.
Nilishawahi. Ilikuwa kawaida tu.Ushawahi kumpenda mtu ambae hujawahi kumuona?
Ilikuawaje?
Katika usomaji wangu katika mitandao ya kijamii eg. quora ambapo niliona hicho kitu najua kuwa LGBT maana yake (lesbian, gay,bisexual and transgender). Pia nipo tayari kupokea maana nyingine ya LGBT.Jibu lako ndio litafanya na mimi nikujibu
Enjoy your time,Katika usomaji wangu katika mitandao ya kijamii eg. quora ambapo niliona hicho kitu najua kuwa LGBT maana yake (lesbian, gay,bisexual and transgender). Pia nipo tayari kupokea maana nyingine ya LGBT.
Tatizo ni nini?Enjoy your time,
I'm out here.
Nakuachia uzi wako uendelee nao,Tatizo ni nini?
Sawa ingawa sikujua kama ungesusa na kama ningejua nisingekuuliza. Utanisamehe kwa hilo.Nakuachia uzi wako uendelee nao,
Lol
If you know you know [emoji81]Kwanini umejibu kwa kiingereza wakati tangazo lako umelileta kwa kiswahili?
kamishina imigresheni ๐ ๐Una elimu ya chuo na umejiajiri, unamtaka mwanamke ambaye ni Daktari, Mwanasheria, Mwalimu au Muhasibu,
Umeshindwa nini kusema upo level gani ya chuo na umejiajiri kwenye sekta ipi,
Pia weka picha zako mbili,
Moja Passport size na ingine iwe full picture.