Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1316]kamishina imigresheni [emoji28] [emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1316]kamishina imigresheni [emoji28] [emoji28]
KabisaaaaIf you know you know [emoji81]
Credits
Kususaa come on!Sawa ingawa sikujua kama ungesusa na kama ningejua nisingekuuliza. Utanisamehe kwa hilo.
Sawa. Nimekuelewa.Kususaa come on!
Sijaona haja ya kuzungumza kuhusu mimi wakati huu ni uwanja wako,
Twasubiri mrejesho.
Uzi ufungwe siti imesha waiwa tayari
mwenzio anaruhusiwa mmoja pekee 😅 😅Nataka ku appeal , sijaridhika bado...😉😉
Appeal pm mapema, mi mwenyewe shahidi siwezi nkakubali nafasi yako kama mzaliwa wa kwanza unyang'anywe kizembe, ka appeal PM ukishindwa njoo niite shahidiNataka ku appeal , sijaridhika bado...😉😉
mchujo wa mwisho.... high court... 😉 😉mwenzio anaruhusiwa mmoja pekee 😅 😅
endelea kutafutaHabari za jioni ndugu zangu wana MMU.
Bila kupoteza muda ni kwamba nina miaka 30, mkiristo, nina elimu ya chuo, nimejiajiri mwenyewe, nina urefu wa wastani.
Hivyo basi, kutokana na hizo sifa hapo zilizotajwa hapo juu napenda kuwataarifu kwamba nahitaji rafiki wa kike ambaye siku za mbeleni atakuwa mke wangu kama tutakuwa na maridhiano.
Nitafurahi sana kama nitampata rafike mwenye sifa zifuatazo:- awe na umri wa miaka 24-29, awe mwanasheria/daktari/mwalimu/mhasibu, awe ni mcha mungu, asiwe mweupe sana wala mweusi sana, pia awe mrefu wa wastani.
Kadhalika, sipendi rafiki mwenye mtizamo hasi na usio sahihi (uongo, lawama, chuki, kununa bila sababu, unafiki,gubu na umbea) bali napenda rafiki ambaye atakuwa na mawazo chanya, mazuri na yenye kujenga na mwenye ustaarabu mwingi na staha.
Aidha, napenda rafiki ambaye ni muwazi sana nikimaanisha kwamba ambaye yupo tayari kueleza makosa yangu au kuniambia ukweli mtupu bila kupepesa macho pale ambapo nitakosea.
Mwisho, nina dhamira nzuri na nimedhamiria katika jambo hili kwa lugha nyepesi nipo tayari kujenga huo urafiki ambao utakuwa imara kuelekea katika maisha ya ndoa.
Karibuni sana PM.
Ahsanteni.
Nenda PM kwa niaba yangu...ila mrejesho unilete hapa jukwani...🙃🙃Appeal pm mapema, mi mwenyewe shahidi siwezi nkakubali nafasi yako kama mzaliwa wa kwanza unyang'anywe kizembe, ka appeal PM ukishindwa njoo niite shahidi
Sawa. Basi ambatanisha jina lako la kwanza la mwisho na picha mbili moja ulopiga katika pose na moja passport size ukubwa inch 2.5 x 4.5 vitume pm katka pdf format. Bila kusahau hela ya fomu ya kuappealNenda PM kwa niaba yangu...ila mrejesho unilete hapa jukwani...[emoji854][emoji854]
sawa developer ubusti tena basi tuoneUsipende kua serious sana, maisha mafupi haya, halafu nilikua nauboost uzi wake si umeona mmesogea.
Lolsawa developer ubusti tena basi tuone
APPELLANT bear with us.....[emoji1540][emoji1540] is for a good cause.Sawa. Basi ambatanisha jina lako la kwanza la mwisho na picha mbili moja ulopiga katika pose na moja passport size ukubwa inch 2.5 x 4.5 vitume pm katka pdf format. Bila kusahau hela ya fomu ya kuappeal
haya vigezo na masharti 😅mchujo wa mwisho.... high court... 😉 😉
[emoji16] wala usijari. Nitahakikisha nazi crop katika ubora ule ule. Yaani kwa court itakua patashika nguo kuchanika mpaka tuakikishe jimbo unalitwaa bila mgombea mwenzaAPPELLANT bear with us.....[emoji115][emoji115][emoji115] is for a good cause.
Smart Technician utanisaidia ku crop hizo picha..kuhusu malipo nimeambiwa ni bure....usiniangushe.
T&Cs anazo APPELLANT ....kwanza wewe unahusikaje?[emoji854][emoji6][emoji6][emoji854]haya vigezo na masharti [emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16] wala usijari. Nitahakikisha nazi crop katika ubora ule ule. Yaani kwa court itakua patashika nguo kuchanika mpaka tuakikishe jimbo unalitwaa bila mgombea mwenza