Nahitaji rafiki wa kike ambaye atakuwa mke wangu ziku za baadaye

Yaaan mkuu umesoma sheria.....INA maana umeshindwa kupata mademu chuo, field ...kazin ad uje JF
 
endelea kutafuta
 
Appeal pm mapema, mi mwenyewe shahidi siwezi nkakubali nafasi yako kama mzaliwa wa kwanza unyang'anywe kizembe, ka appeal PM ukishindwa njoo niite shahidi
Nenda PM kwa niaba yangu...ila mrejesho unilete hapa jukwani...πŸ™ƒπŸ™ƒ
 
Nenda PM kwa niaba yangu...ila mrejesho unilete hapa jukwani...[emoji854][emoji854]
Sawa. Basi ambatanisha jina lako la kwanza la mwisho na picha mbili moja ulopiga katika pose na moja passport size ukubwa inch 2.5 x 4.5 vitume pm katka pdf format. Bila kusahau hela ya fomu ya kuappeal
 
Sawa. Basi ambatanisha jina lako la kwanza la mwisho na picha mbili moja ulopiga katika pose na moja passport size ukubwa inch 2.5 x 4.5 vitume pm katka pdf format. Bila kusahau hela ya fomu ya kuappeal
APPELLANT bear with us.....[emoji1540][emoji1540] is for a good cause.

Smart Technician utanisaidia ku crop hizo picha..kuhusu malipo nimeambiwa ni bure....usiniangushe.
 
APPELLANT bear with us.....[emoji115][emoji115][emoji115] is for a good cause.

Smart Technician utanisaidia ku crop hizo picha..kuhusu malipo nimeambiwa ni bure....usiniangushe.
[emoji16] wala usijari. Nitahakikisha nazi crop katika ubora ule ule. Yaani kwa court itakua patashika nguo kuchanika mpaka tuakikishe jimbo unalitwaa bila mgombea mwenza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…