Nahitaji rafiki yeyote wa kubadilishana mawazo

Nahitaji rafiki yeyote wa kubadilishana mawazo

Mimi Ni msichana,nataka rafiki yeyote wa kubadilishana mawazo after work...awe me au ke ni sawa but story za apa na pale...msiniseme jamani ni upweke unanisumbua,nkirudi kazini nakosa wa kuongea nae kabisa,most of my friends wana watu wao but mimi muhanga nimeshindwa kuwa na mtu kabisa..najaribu kuji keep busy kwenye mitandao lakini wapiii kuna muda najikuta nakuwa mpweke ghafla
NB:SITAFUTI MWENZA APA NI RAFIKI TU.
Umepata tayari Rafiki nicheck whatssap +2774696692

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi Ni msichana,nataka rafiki yeyote wa kubadilishana mawazo after work...awe me au ke ni sawa but story za apa na pale...msiniseme jamani ni upweke unanisumbua,nkirudi kazini nakosa wa kuongea nae kabisa,most of my friends wana watu wao but mimi muhanga nimeshindwa kuwa na mtu kabisa..najaribu kuji keep busy kwenye mitandao lakini wapiii kuna muda najikuta nakuwa mpweke ghafla
NB:SITAFUTI MWENZA APA NI RAFIKI TU.

Tunaruhusiwa kuja PM moja kwa moja.
 
Back
Top Bottom