Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,320
[emoji23][emoji23] wew mkuu sitaki kabisa....
Sura yangu mbaya?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23] wew mkuu sitaki kabisa....
Sema kweeli jamaniiKila la heri mwaya mbona utawapata mpaka ushindwe mwenyewe
Umekuwa mhanga wa nini dada emu ungeelezea vzr ili watu wakufariji na kukupa mawazo mazuri ya nn ufanye
Sent using Jamii Forums mobile app
Umepata tayari Rafiki nicheck whatssap +2774696692Mimi Ni msichana,nataka rafiki yeyote wa kubadilishana mawazo after work...awe me au ke ni sawa but story za apa na pale...msiniseme jamani ni upweke unanisumbua,nkirudi kazini nakosa wa kuongea nae kabisa,most of my friends wana watu wao but mimi muhanga nimeshindwa kuwa na mtu kabisa..najaribu kuji keep busy kwenye mitandao lakini wapiii kuna muda najikuta nakuwa mpweke ghafla
NB:SITAFUTI MWENZA APA NI RAFIKI TU.
Hahhaha ebu uko weka thread na wewe uone kinachofuatiaSema kweeli jamanii
We mzee ebu nieleweshe ulichoandikamchuzi wa mautamu ukijaa hadi kuchuruzika balaa lake ndio kama hivo. H. Kopa kasema mawigi yanawawasha nimecheka sana
No
Your history [emoji23][emoji23]
Soma vizuri maelezo ya mleta post utaelewa Mzee mwenzangu. Asipopata huduma fwasta atakufwa na mautamu yake huyoWe mzee ebu nieleweshe ulichoandika
Mie naogopa vivuliiHahhaha ebu uko weka thread na wewe uone kinachofuatia
Mimi Ni msichana,nataka rafiki yeyote wa kubadilishana mawazo after work...awe me au ke ni sawa but story za apa na pale...msiniseme jamani ni upweke unanisumbua,nkirudi kazini nakosa wa kuongea nae kabisa,most of my friends wana watu wao but mimi muhanga nimeshindwa kuwa na mtu kabisa..najaribu kuji keep busy kwenye mitandao lakini wapiii kuna muda najikuta nakuwa mpweke ghafla
NB:SITAFUTI MWENZA APA NI RAFIKI TU.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Lakini amesema hatafuti mbebez eti anatafuta marafiki wa kubadilishana nao mawazoSoma vizuri maelezo ya mleta post utaelewa Mzee mwenzangu. Asipopata huduma fwasta atakufwa na mautamu yake huyo
Usikate tamaa mjukuu wangu utapata marafiki[emoji23][emoji23][emoji23]umefika mbali...ila anyway ni opinion zako
Tunaruhusiwa kuja PM moja kwa moja.
Sasa vivuli humu jf vinakosekanaje kwa mfano we dada jamaniMie naogopa vivulii