Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama nakuona [emoji1787][emoji1787]Wooooiiiiiiii
Check nlivovimba na kunesanesa kwa kujidai hapa woyoooo
HahahaaaaaKama nakuona [emoji1787][emoji1787]
Mimi Ni msichana,nataka rafiki yeyote wa kubadilishana mawazo after work...awe me au ke ni sawa but story za apa na pale...msiniseme jamani ni upweke unanisumbua,nkirudi kazini nakosa wa kuongea nae kabisa,most of my friends wana watu wao but mimi muhanga nimeshindwa kuwa na mtu kabisa..najaribu kuji keep busy kwenye mitandao lakini wapiii kuna muda najikuta nakuwa mpweke ghafla
NB:SITAFUTI MWENZA APA NI RAFIKI TU.
Lipia tangazo kwanzaMimi Ni msichana,nataka rafiki yeyote wa kubadilishana mawazo after work...awe me au ke ni sawa but story za apa na pale...msiniseme jamani ni upweke unanisumbua,nkirudi kazini nakosa wa kuongea nae kabisa,most of my friends wana watu wao but mimi muhanga nimeshindwa kuwa na mtu kabisa..najaribu kuji keep busy kwenye mitandao lakini wapiii kuna muda najikuta nakuwa mpweke ghafla
NB:SITAFUTI MWENZA APA NI RAFIKI TU.
kumbe una ubaguzi sana, unataka rafki ama unataka mkoa!!?Thanks mkuu but mwanza no
[emoji23][emoji23][emoji849][emoji849][emoji23]Kalalamika sana wenzie wote wana watu wao yeye tu ndio nehi nehi ,atakufwa na mautamu yake huyo mjukuu wangu daah!