Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Nenda basi pm we mzeeUsikate tamaa mjukuu wangu utapata marafiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda basi pm we mzeeUsikate tamaa mjukuu wangu utapata marafiki
Mimi Ni msichana,nataka rafiki yeyote wa kubadilishana mawazo after work...awe me au ke ni sawa but story za apa na pale...msiniseme jamani ni upweke unanisumbua,nkirudi kazini nakosa wa kuongea nae kabisa,most of my friends wana watu wao but mimi muhanga nimeshindwa kuwa na mtu kabisa..najaribu kuji keep busy kwenye mitandao lakini wapiii kuna muda najikuta nakuwa mpweke ghafla
NB:SITAFUTI MWENZA APA NI RAFIKI TU.
Kalalamika sana wenzie wote wana watu wao yeye tu ndio nehi nehi ,atakufwa na mautamu yake huyo mjukuu wangu daah![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Lakini amesema hatafuti mbebez eti anatafuta marafiki wa kubadilishana nao mawazo
Ndo sitaki mieeSasa vivuli humu jf vinakosekanaje kwa mfano we dada jamani
Marafiki ninao mimi mfyuuuuu we umeenda huko pmNenda basi pm we mzee
Hahahhaha na hamu zikizidi unaweza kuchizikaKalalamika sana wenzie wote wana watu wao yeye tu ndio nehi nehi ,atakufwa na mautamu yake huyo mjukuu wangu daah!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jumba la vivuliNdo sitaki miee
😂😂mautamu nkiyataka siyakosi wallahi nafanya kuchagua tu...ila stakag mtu permanent maana ni stress tu...yani ata 2 weeks cjamliza tangu nipate mautamu babu😂😂Kalalamika sana wenzie wote wana watu wao yeye tu ndio nehi nehi ,atakufwa na mautamu yake huyo mjukuu wangu daah!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mimi marafiki zangu wananitosha we mzeeMarafiki ninao mimi mfyuuuuu we umeenda huko pm
Yaani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jumba la vivuli
😂😂mautamu nkiyataka siyakosi wallahi nafanya kuchagua tu...ila stakag mtu permanent maana ni stress tu...yani ata 2 weeks cjamliza tangu nipate mautamu babu😂😂Kalalamika sana wenzie wote wana watu wao yeye tu ndio nehi nehi ,atakufwa na mautamu yake huyo mjukuu wangu daah!
Atakufwa jamani mjukuu wanguHahahhaha na hamu zikizidi unaweza kuchizika
Huo utam utaisha[emoji23][emoji23]mautamu nkiyataka siyakosi wallahi nafanya kuchagua tu...ila stakag mtu permanent maana ni stress tu...yani ata 2 weeks cjamliza tangu nipate mautamu babu[emoji23][emoji23]
HahahhahahhahaAtakufwa jamani mjukuu wangu
Hongera zako mjukuu wangu[emoji23][emoji23]mautamu nkiyataka siyakosi wallahi nafanya kuchagua tu...ila stakag mtu permanent maana ni stress tu...yani ata 2 weeks cjamliza tangu nipate mautamu babu[emoji23][emoji23]
Na mimi nimo![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mimi marafiki zangu wananitosha we mzee
HahahaaaaaHahahhahahhaha
NdiwooooNa mimi nimo!
WooooiiiiiiiiNdiwoooo
Unaanzaje kutokuwemo wewe tena