Nahitaji rafiki yeyote wa kubadilishana mawazo

Nahitaji rafiki yeyote wa kubadilishana mawazo

Niko apa [emoji4]
Mimi Ni msichana,nataka rafiki yeyote wa kubadilishana mawazo after work...awe me au ke ni sawa but story za apa na pale...msiniseme jamani ni upweke unanisumbua,nkirudi kazini nakosa wa kuongea nae kabisa,most of my friends wana watu wao but mimi muhanga nimeshindwa kuwa na mtu kabisa..najaribu kuji keep busy kwenye mitandao lakini wapiii kuna muda najikuta nakuwa mpweke ghafla
NB:SITAFUTI MWENZA APA NI RAFIKI TU.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kalalamika sana wenzie wote wana watu wao yeye tu ndio nehi nehi ,atakufwa na mautamu yake huyo mjukuu wangu daah!
😂😂mautamu nkiyataka siyakosi wallahi nafanya kuchagua tu...ila stakag mtu permanent maana ni stress tu...yani ata 2 weeks cjamliza tangu nipate mautamu babu😂😂
 
Kalalamika sana wenzie wote wana watu wao yeye tu ndio nehi nehi ,atakufwa na mautamu yake huyo mjukuu wangu daah!
😂😂mautamu nkiyataka siyakosi wallahi nafanya kuchagua tu...ila stakag mtu permanent maana ni stress tu...yani ata 2 weeks cjamliza tangu nipate mautamu babu😂😂
 
[emoji23][emoji23]mautamu nkiyataka siyakosi wallahi nafanya kuchagua tu...ila stakag mtu permanent maana ni stress tu...yani ata 2 weeks cjamliza tangu nipate mautamu babu[emoji23][emoji23]
Hongera zako mjukuu wangu

Nilihofu isijekuwa wenzio wote wana watu wao wakati wewe unakufwa na mautamu yako
 
Back
Top Bottom