Nahitaji sana 'Critical Thinking' yako katika hii Taarifa tafadhali

Nahitaji sana 'Critical Thinking' yako katika hii Taarifa tafadhali

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini unatarajia kumsafirisha kwa ndege Mtanzania Kulwa Hassan Twalibu, aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya Sterkfontein iliyopo Johannesbug- Afrika Kusini tangu mwaka 2018.

Balozi James Bwana amesema Twalibu anarejea Tanzania ili akaungane na familia yake, ikiwa ni miaka 12 tangu alipoondoka Tanzania kwenda Afrika Kusini kutafuta maisha, ambapo aliugua na kukaa hospitalini hapo kwa zaidi ya miaka sita.

Chanzo: azamtvtz

Tafadhali nakuomba tulia kabisa soma vizuri hii Taarifa kisha karibu na Tafakuri Tunduizi ( Critical Thinking ) yako. Binafsi kwa Video ya hii Taarifa husika nilivyoiona tu kisha nikayaita yale Macho yangu ya ndani kabisa nikagundua Kitu fulani ila naomba nisikiseme na niwaachie Wabobezi wa Fikra Pana zaid Waseme.
 
Ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini unatarajia kumsafirisha kwa ndege Mtanzania Kulwa Hassan Twalibu, aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya Sterkfontein iliyopo Johannesbug- Afrika Kusini tangu mwaka 2018...
Hapo hatuhitaji akili mnembo tutatumia social inference huyu inatakiwa ndugu zake wamsaidie zaidi vinginevyo ataenda haraka kule tunako pumzika sanaa hadi tunasahaulika ndugu na marafiki hawatuoni kabisaa
 
Back
Top Bottom