chibuga mugeta
JF-Expert Member
- Jun 29, 2012
- 1,176
- 1,054
- Thread starter
- #161
sawa mkuuNinaweza kukupa namba zao mkuu njoo pm .
Wanabebeka kirahisi tu ilimradi use na ngawira.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa mkuuNinaweza kukupa namba zao mkuu njoo pm .
Wanabebeka kirahisi tu ilimradi use na ngawira.
sawa sawa mkuuNinaweza kukupa namba zao mkuu njoo pm .
Wanabebeka kirahisi tu ilimradi use na ngawira.
no escapeMwalimu wa sekondary ambae hajatumika sana! wewe ndio ulimsomesha,madisko yote yale ya chuo ayakwepe we uje uchukue kiulaini Tu.
Ninaposema hajatumika sana nina maana kuwa yule binti ambaye hajawahi kuolewa au kuwekwa kimada kwa muda hata wa miezi 4 au mitano,nikimaanisha amekuwa single hata kama aliwahi kuwa na boy basi hakuwa akijipeleka kwa dozi mara 3 au 4 ndani ya wiki,nikimaanisha bado muscles za ndani zina nguvu na bado tight pia maziwa hayajanyoywa saaana,kiufupi maumbile ya nayomfanya aitwe binti bado yako vzr kiasi chake,msichana aliyewahi fanya mapenzi kama mtu aliyeolewa alikuwa akipokea dozi daily fikirien kwa miaka 2 au mwaka hadi alipoachika yukoje,huyo ndiye aliyetumika sana,ila kama aliwahi kuwa na kaka ila hakuweka makazi na alijiheshimu akilazimisha ndoa na baadaye jamaa akazidiwa kete akanyoosha mikono huyo angalau.Mi ni mfanyakazi nimeajiriwa pia ni mhandisi,imefikia umri wa kuwa na mwenza nahitaji sana binti wa kuoa ila awe mkristo msabato,lutheran etc ,kama yupo pls ani pm ila awe serious na asiwe aliyekwisha tumika sana age nzuri ni 19-26
ni pm unipatie namba mkuuWapo wengi mkuu
Mwanakondoo huyo tena mwalimu kabisa, fuatilia link chinini pm unipatie namba mkuu
Mi ni mfanyakazi nimeajiriwa pia ni mhandisi,imefikia umri wa kuwa na mwenza nahitaji sana binti wa kuoa ila awe mkristo msabato,lutheran etc ,kama yupo pls ani pm ila awe serious na asiwe aliyekwisha tumika sana age nzuri ni 19-26
poa nashukuru sana best be blessedYupo mmoja mrembo saaana na ametulia nichek nikupe namba yake
Mwenyezi akusaidie lakini............Mi ni mfanyakazi nimeajiriwa pia ni mhandisi,imefikia umri wa kuwa na mwenza nahitaji sana binti wa kuoa ila awe mkristo msabato,lutheran etc ,kama yupo pls ani pm ila awe serious na asiwe aliyekwisha tumika sana age nzuri ni 19-26
ahsante kwa taarifa na ushauri mzuri mkuuMwenyezi akusaidie lakini............
Mi nimehamia sehem moja ipo kijijini, nikadhani labda huku uzinzi ni kiasi kidogo si kama mjini ila nilichoshudia ni tofauti.
Kuna walimu hawajaolewa lakini dah..ni visuuzio vya vijana kijijini. Nahisi mishahara midogo, na mabinti wanavyotaka nyumba zao ziwe na flat tv, sofa etc wanajikuta mishahara haitoshi wanagawa nyapu zao. Tafuta lakini hicho kigezo cha kutotumika bora kipe point 5% tu, na hii ni kwa sababu "" nguo kuukuu ni dekio jipyaaaa""
sawa mkuuWalimu watakupasua kichwa nakushauri wengi wanalia
yalaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah mbavu zangu wewehunitakii mema mkuu kama mkulu alienda na kabla hajafika ikulu wakamleftisha mmoja sembuse mimi mkuu haupo fair
Unawaambia pale regency tunatoa huduma ya kupima nn eti?! Taratibu tafadhali,siku hizi kuna vipimo pale reagency vinatanabaisha kama binti katumika sana au la niamini ktk hilo ila mi sitafikia huko nina mbinu zangu nitakazotumia
WEWE cha utundu ukitaka kwenda kupima ni pm nitakwaambia cha kufanyaUnawaambia pale regency tunatoa huduma ya kupima nn eti?! Taratibu tafadhali,