Neybright
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 5,690
- 14,477
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Miss you Nataka shari
Mydear Mekumithiii pia tatizo mambo ya ulimwengu ndio yanayonichanganya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Miss you Nataka shari
Kweli nimeamini adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake, kweli nimeosha vyombo toka utotoni lakini sikuwahi kuosha mwiko na sufiria nilikuwa naloweka tuu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji39]We unapika na kuosha vyombo tangu utotoni ushatumika sana, tuachie sie ambao hatujatumika.
Na hapo ndipo ulipokosea, basi tena hauna sifa, tuachie sie walimu wa sunday school hii fursa.Kweli nimeamini adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake, kweli nimeosha vyombo toka utotoni lakini sikuwahi kuosha mwiko na sufiria nilikuwa naloweka tuu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji39]
Mie siwezi kukata tamaa kirahis hivyo ngoja aje atoe tamko maana yupo kule pm anawajibu wagombea fursa, alafu sina uhakika kama uwalimu wa Sunday school ni moja ya kigezo chake, maana jamaa anaonesha anataka aone salary ya kila mwezi sasa wewe unataka kuleta mambo ajira za kujitolea sidhani kama atakubali kabisa.Na hapo ndipo ulipokosea, basi tena hauna sifa, tuachie sie walimu wa sunday school hii fursa.
Uh!!!! Kumbe kuna kwenda pm!! Ngoja niwahi.Mie siwezi kukata tamaa kirahis hivyo ngoja aje atoe tamko maana yupo kule pm anawajibu wagombea fursa, alafu sina uhakika kama uwalimu wa Sunday school ni moja ya kigezo chake, maana jamaa anaonesha anataka aone salary ya kila mwezi sasa wewe unataka kuleta mambo ajira za kujitolea sidhani kama atakubali kabisa.
Hahahaaa,,,,,sawaUnatumia pima maji
Huku ndiko tulipofikia watu tunapenda sana short cut mwisho wa siku ni kudanganywa tuLabda ana kipimo aseeeee...Akiweka tu, anajua huyu katumika au la?
Ni kwel kama hujatumika utampata kama ulivyo wewe mungu akubariki katika hilomkuu nina uwezo wa kugundua hilo amini mkuu,mi mwenyewe nimekuwa muaminifu sana mkuu ktk suala zima la zinaa,uzinifu ninaamini ktk kauli kuwa Mungu hukupatia mwanamke kulingana na tabia yako ilivyo
Ngoja nkasomee ualimu sasa
Legeza masharti nikuunganishe kwa ex wangu.Mi ni mfanyakazi nimeajiriwa pia ni mhandisi,imefikia umri wa kuwa na mwenza nahitaji sana binti wa kuoa ila awe mkristo msabato,lutheran etc ,kama yupo pls ani pm ila awe serious na asiwe aliyekwisha tumika sana age nzuri ni 19-26
Kama atakubali kuwa mchepuko itabidi umpe namba yangu shemela wa uongo na kweliNgoja nikuitie walimu wangu ambao wako single ugangamare nao
Heaven Sent
espy
snowhite
gfsonwin
Madame B
Evelyn Salt
geniveros
Heeheeeeeeee...kumbe utaaanza kuchenjua makinikia kwanza eheeeeeeeeeeee....ila we mhandisi kweliisiku hizi kuna vipimo pale reagency vinatanabaisha kama binti katumika sana au la niamini ktk hilo ila mi sitafikia huko nina mbinu zangu nitakazotumia
abeee niko hapa!Ngoja nikuitie walimu wangu ambao wako single ugangamare nao
Heaven Sent
espy
snowhite
gfsonwin
Madame B
Evelyn Salt
geniveros
33Miaka yako kama hutajali,
mkuu dah,haya bhana micna jibu ktk hiloKuna mtu anajiita mhandisi msomi huku mtaan ukute ni wewe?? Waandisi nao ni wasomi kama 'wakiri msomi??