Nahitaji sana kuoa walimu wa kike hasa wa sekondary au hata primary nitawapataje?

Nahitaji sana kuoa walimu wa kike hasa wa sekondary au hata primary nitawapataje?

We unapika na kuosha vyombo tangu utotoni ushatumika sana, tuachie sie ambao hatujatumika.
Kweli nimeamini adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake, kweli nimeosha vyombo toka utotoni lakini sikuwahi kuosha mwiko na sufiria nilikuwa naloweka tuu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji39]
 
Kweli nimeamini adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake, kweli nimeosha vyombo toka utotoni lakini sikuwahi kuosha mwiko na sufiria nilikuwa naloweka tuu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji39]
Na hapo ndipo ulipokosea, basi tena hauna sifa, tuachie sie walimu wa sunday school hii fursa.
 
Na hapo ndipo ulipokosea, basi tena hauna sifa, tuachie sie walimu wa sunday school hii fursa.
Mie siwezi kukata tamaa kirahis hivyo ngoja aje atoe tamko maana yupo kule pm anawajibu wagombea fursa, alafu sina uhakika kama uwalimu wa Sunday school ni moja ya kigezo chake, maana jamaa anaonesha anataka aone salary ya kila mwezi sasa wewe unataka kuleta mambo ajira za kujitolea sidhani kama atakubali kabisa.
 
Mie siwezi kukata tamaa kirahis hivyo ngoja aje atoe tamko maana yupo kule pm anawajibu wagombea fursa, alafu sina uhakika kama uwalimu wa Sunday school ni moja ya kigezo chake, maana jamaa anaonesha anataka aone salary ya kila mwezi sasa wewe unataka kuleta mambo ajira za kujitolea sidhani kama atakubali kabisa.
Uh!!!! Kumbe kuna kwenda pm!! Ngoja niwahi.
 
ina onekana upo serious alaf watu wana ku actia but wew upo wap kwanza sis ndo madalali tuluo baki mjin
 
mkuu nina uwezo wa kugundua hilo amini mkuu,mi mwenyewe nimekuwa muaminifu sana mkuu ktk suala zima la zinaa,uzinifu ninaamini ktk kauli kuwa Mungu hukupatia mwanamke kulingana na tabia yako ilivyo
Ni kwel kama hujatumika utampata kama ulivyo wewe mungu akubariki katika hilo
 
Ngoja nkasomee ualimu sasa


Haaaaa Haaaaa Haaaaa Haaaaa Haaaaa teeeh teeeh teeeh.

Mimi nahitaji wa taaluma yako ya medicine, Basi njoo pm tuyajenge mahabati unayoonesha kwenye huu uzi.
 
Mi ni mfanyakazi nimeajiriwa pia ni mhandisi,imefikia umri wa kuwa na mwenza nahitaji sana binti wa kuoa ila awe mkristo msabato,lutheran etc ,kama yupo pls ani pm ila awe serious na asiwe aliyekwisha tumika sana age nzuri ni 19-26
Legeza masharti nikuunganishe kwa ex wangu.
 
Hahaaaaa mkuuuuu unaakili mingi mingi utapima wengiiiii mpaka utachoka kujua yup ametumika saaaana mwishowe utajikuta waita baba mtunza watoto kwenye soft [emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
siku hizi kuna vipimo pale reagency vinatanabaisha kama binti katumika sana au la niamini ktk hilo ila mi sitafikia huko nina mbinu zangu nitakazotumia
Heeheeeeeeee...kumbe utaaanza kuchenjua makinikia kwanza eheeeeeeeeeeee....ila we mhandisi kwelii
 
Ila kumbuka utapimiwa kwa kipimo kilekile............
.. kama unataka wa kuwahadaaa utapata wakukuhadaa vile vile..
Mungu akutangulie uweze timiza hitaji lako kama kweli unamaanisha hicho ulicho andika...
 
Na wewe hujatumika sana? Na unapimaje huko kutumika?
 
Back
Top Bottom