Nahitaji sana kuoa walimu wa kike hasa wa sekondary au hata primary nitawapataje?

Nahitaji sana kuoa walimu wa kike hasa wa sekondary au hata primary nitawapataje?

Ili mradi wamepitia vyuoni, ujuwe tu kuwa wametumika, whether sana or sio sana, hilo ni very subjective.
 
Nipo hapa ila uniambie na wew unafanya kazi gani usijetaka mwalim kumbe wew mpiga debe
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kitambo sana japo huwa sipendi kujionyesha kwa watu maana wataniharibia binadam sio wema [emoji26]
Hahahaaaaa!!! Basi ushatumika sana wewe.
 
Hahahaaaaa!!! Basi ushatumika sana wewe.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Tusifukuziane bahati jamani mbona unakuwa hivyo? Embu muache mkuu aje adadavue huo usemi nipate nguvu ya kuingia pm [emoji26]
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Tusifukuziane bahati jamani mbona unakuwa hivyo? Embu muache mkuu aje adadavue huo usemi nipate nguvu ya kuingia pm [emoji26]
We unapika na kuosha vyombo tangu utotoni ushatumika sana, tuachie sie ambao hatujatumika.
 
Mi ni mfanyakazi nimeajiriwa pia ni mhandisi,imefikia umri wa kuwa na mwenza nahitaji sana binti wa kuoa ila awe mkristo msabato,lutheran etc ,kama yupo pls ani pm ila awe serious na asiwe aliyekwisha tumika sana age nzuri ni 19-26
Wazo lako zuri sana, walimu ni walezi wana dili na vitoto vitukutu kweli, cha ajabu wanaolewa na mijamaa mijinga jinga tu, nakuunga mkono mleta maada, nasubiri walimu waje hapa.
 
Sasa mkuu utajuaje kama ametumika sana au hajatumika??Je wewe umetumika sana au hujatumika??Ushauri wangu kwako huyo mke unayemtaka yupo ulipo jaribu kumtafuta ulipo na utapata utafutaji mwema
Unatumia pima maji
 
Mi ni mfanyakazi nimeajiriwa pia ni mhandisi,imefikia umri wa kuwa na mwenza nahitaji sana binti wa kuoa ila awe mkristo msabato,lutheran etc ,kama yupo pls ani pm ila awe serious na asiwe aliyekwisha tumika sana age nzuri ni 19-26
Hapo kwenye kutumika sana ndio ulipoharibu uyajuaje huyu ametumika sana huyu bado
 
Mi ni mfanyakazi nimeajiriwa pia ni mhandisi,imefikia umri wa kuwa na mwenza nahitaji sana binti wa kuoa ila awe mkristo msabato,lutheran etc ,kama yupo pls ani pm ila awe serious na asiwe aliyekwisha tumika sana age nzuri ni 19-26
Mkuu kila la heri, vuta subira. Ila tahadhari, nimepitia uzi wako fulani ulimshambulia sana waziri ukidai asikuzuie kuvishughurikia vitoto vya kike vya shule. Nina wasiwasi unaweza kuingia kwenye jaribu kubwa zaidi maana utakuwa karibu navyo sana ukiisha mpata huyo mwalimu.
 
Back
Top Bottom