Nahitaji sana kuoa walimu wa kike hasa wa sekondary au hata primary nitawapataje?

Nahitaji sana kuoa walimu wa kike hasa wa sekondary au hata primary nitawapataje?

Hela yako ndogo....lakini hutaki gari ya mtumba......
b1a51b2da56163710feae0ba6f5c447c.jpg
 
Hahahah! Mh! Walimu ni wababe sana. Wanamuona kila aliye mbele yake ni mwanafunzi wake. Unaweza pokea bakora hivihivi.
Mwe mwe mweeeeeeh!! Kwahiyo we unataka mwanajeshi?
 
Back
Top Bottom