Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si umeona navyokupenda mpaka nakutafutia mchongo??Haha babu kumbe na me mwalimu wa stadi za kazi nafaa eeh?
Hahaha poasiyo mchezo, ukiisikia hii meter pahala unistue aisee. nitahitaji kuwa nayo moja tu
Si kweli labda wa pale kizebazeba...😛Kuoa Mwalimu lazima ujiandae kisaikolojia waalimu huwa wanawaza kila mtu ni mwanafunzi huko ndani ujiandae kupokea amri kila mara hata mbele za wageni.
Ohooooo!! Kumbe na manesi wanatakiwa!! Sasa nitasoma vingapi!! Si nitajikuta nina 60 bado nasoma tu[emoji134] [emoji134] [emoji134]Ukimaliza uende na unesi pia, maana sio kwa ubaguzi huu
Mwe mwe mweeeeeeh!! Kwahiyo we unataka mwanajeshi?Hahahah! Mh! Walimu ni wababe sana. Wanamuona kila aliye mbele yake ni mwanafunzi wake. Unaweza pokea bakora hivihivi.
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]ewaaaaa huku hata mi ntamfikiria.
Ayaa ndugu we kataa,Si kweli labda wa pale kizebazeba...😛
Umeanza lini kuosha vyombo na kupika?Aiseeh ng'ombe wa maskini hazai, vigezo vyote ninavyo tatizo sijaelewa hicho kigezo cha kuto kutumika sana tafadhali mkuu naomba ufafanuzi juu ya hicho kigezo ili hii fursa isinipite [emoji26][emoji26]
Tena mimi sijatumika hata kidogo.Ngoja nikuitie walimu wangu ambao wako single ugangamare nao
Heaven Sent
espy
snowhite
gfsonwin
Madame B
Evelyn Salt
geniveros
si umeona navokukumbuka kwenye mambo muhimu?Tena mimi sijatumika hata kidogo.
Si ndio maana nakupenda babu yangu[emoji8] [emoji8]si umeona navokukumbuka kwenye mambo muhimu?
Wa sayansikimu.Haha babu kumbe na me mwalimu wa stadi za kazi nafaa eeh?
Huyo ana afadhali kidogo kuliko tichaMwe mwe mweeeeeeh!! Kwahiyo we unataka mwanajeshi?
Ukifanikiwa usinisahau kwenye ufalme wako.Si ndio maana nakupenda babu yangu[emoji8] [emoji8]
We kama hauna sifa usituharibie fursa bwana.Kama ingekuwa walimu wa zamani wa kike ningekuunga mkoni ila kama ni hawa wa sasa hapana ,,,
kama huamini kamuulize Ebitoke aka EbipoulHivi kuna binti ambae 'hajatumika sana' mpaka sasaivi
Wacha we! Basi ngoja nisome vyote kwa pamoja.Huyo ana afadhali kidogo kuliko ticha