Nahitaji sana kuoa walimu wa kike hasa wa sekondary au hata primary nitawapataje?

Nahitaji sana kuoa walimu wa kike hasa wa sekondary au hata primary nitawapataje?

Kwanini lazima awe mwalimu??? tupeane siri mkuu... walimu wana nini?
 
Aiseeh ng'ombe wa maskini hazai, vigezo vyote ninavyo tatizo sijaelewa hicho kigezo cha kuto kutumika sana tafadhali mkuu naomba ufafanuzi juu ya hicho kigezo ili hii fursa isinipite [emoji26][emoji26]
tusomee meter hapo, inasoma ngapi?
 
Yaani acha tu, ngoja nikasome maana fursa zinanipita hivi hivi.

Vipi wewe hautaki mwalimu? Tusije tukasoma alafu kurudi mnataka wanajeshi[emoji134] [emoji134] [emoji134]
Hahahah! Mh! Walimu ni wababe sana. Wanamuona kila aliye mbele yake ni mwanafunzi wake. Unaweza pokea bakora hivihivi.
 
Back
Top Bottom