KORBOTO
JF-Expert Member
- Feb 14, 2014
- 1,848
- 2,446
ewaaaaa huku hata mi ntamfikiria.Ukimaliza uende na unesi pia, maana sio kwa ubaguzi huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ewaaaaa huku hata mi ntamfikiria.Ukimaliza uende na unesi pia, maana sio kwa ubaguzi huu
Hahahaaa congrats to you madam for telling truthMtumiko vipiiii... utampata sayari ya jupiter ama pluto ... Mabinti 99% tumetumika haswa ... Hhahhahahahhahhhah uwiiiiiii sio kwa karne hii
Kuoa walimu wakike ?????????? Daaahh bro !!!,Mi ni mfanyakazi nimeajiriwa pia ni mhandisi,imefikia umri wa kuwa na mwenza nahitaji sana binti wa kuoa ila awe mkristo msabato,lutheran etc ,kama yupo pls ani pm ila awe serious na asiwe aliyekwisha tumika sana age nzuri ni 19-26
Njoo kwangu mkuu,Kumbe Ualimu dili kias hiki sikuhiz
Ooooh[emoji134] Hii sifa inanikosesha fursa kwa Mara ya pili sasa
Wakibaki nigawie mmoja mkuu,Ninaweza kukupa namba zao mkuu njoo pm .
Wanabebeka kirahisi tu ilimradi use na ngawira.
"asiwe aliyekwisha tumika sana"
Hahahahaha mkuu usiwaze utampata..kila la heri
Sasa mkuu utajuaje kama ametumika sana au hajatumika??Je wewe umetumika sana au hujatumika??Ushauri wangu kwako huyo mke unayemtaka yupo ulipo jaribu kumtafuta ulipo na utapata utafutaji mwema
Hahahaha na anategemea atampataAna maanisha iwe inasoma chini ya km 10,000[emoji23][emoji23][emoji23]
Haha babu kumbe na me mwalimu wa stadi za kazi nafaa eeh?Ngoja nikuitie walimu wangu ambao wako single ugangamare nao
Heaven Sent
espy
snowhite
gfsonwin
Madame B
Evelyn Salt
geniveros
siyo mchezo, ukiisikia hii meter pahala unistue aisee. nitahitaji kuwa nayo moja tuDuuuh noma mkuu
si useme tu mkuu, mbn unazunguka?Kuna teacher mmoja alileta uzi humu bhana, em kamcheki
Acha kutuharibia basi aiseeh [emoji26][emoji26]Kama ingekuwa walimu wa zamani wa kike ningekuunga mkoni ila kama ni hawa wa sasa hapana ,,,