Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
We si ulikuwa gereza la wanaume!!Ukifanikiwa usinisahau kwenye ufalme wako.
Naambiwa tulipelekwa lupango pamoja. Mbona sikukuona gerezani?
Siku ile tulisombwa wote babu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We si ulikuwa gereza la wanaume!!Ukifanikiwa usinisahau kwenye ufalme wako.
Naambiwa tulipelekwa lupango pamoja. Mbona sikukuona gerezani?
Hahaha! Ndo usome mapema uwahi fursa.Wacha we! Basi ngoja nisome vyote kwa pamoja.
Kesho naanza shule.Hahaha! Ndo usome mapema uwahi fursa.
Hahaha! Jiandae kupiga kwata la mwendokasiKesho naanza shule.
Hivi kosa letu lilikuwa nini hasa??We si ulikuwa gereza la wanaume!!
Siku ile tulisombwa wote babu.
Hamna namna!Hahaha! Jiandae kupiga kwata la mwendokasi
Eti kuleta mzaha kwenye uzi mmu!!!Hivi kosa letu lilikuwa nini hasa??
Eish... sasa ule uzi si ulikuwa zaidi ya mzaha?Eti kuleta mzaha kwenye uzi mmu!!!
Ndio hapo chacha!!!Eish... sasa ule uzi si ulikuwa zaidi ya mzaha?
Aah basi sawa, nimequalifyWa sayansikimu.
Anajiita boss lady bhana..si useme tu mkuu, mbn unazunguka?
Kilalakheri mkuuHamna namna!
Mbona unasema wa kike INA maana hata wa kiume huolewa?Mi ni mfanyakazi nimeajiriwa pia ni mhandisi,imefikia umri wa kuwa na mwenza nahitaji sana binti wa kuoa ila awe mkristo msabato,lutheran etc ,kama yupo pls ani pm ila awe serious na asiwe aliyekwisha tumika sana age nzuri ni 19-26
Mi ni mfanyakazi nimeajiriwa pia ni mhandisi,imefikia umri wa kuwa na mwenza nahitaji sana binti wa kuoa ila awe mkristo msabato,lutheran etc ,kama yupo pls ani pm ila awe serious na asiwe aliyekwisha tumika sana age nzuri ni 19-26