Nahitaji sana kuoa walimu wa kike hasa wa sekondary au hata primary nitawapataje?

Nahitaji sana kuoa walimu wa kike hasa wa sekondary au hata primary nitawapataje?

Wazo lako zuri sana, walimu ni walezi wana dili na vitoto vitukutu kweli, cha ajabu wanaolewa na mijamaa mijinga jinga tu, nakuunga mkono mleta maada, nasubiri walimu waje hapa.
Sio kweli,ndo wanaoongoza kwa kutokuwa na maadili ndo maana wanaolewa na wanaume wasiojielewa.
 
Mi ni mfanyakazi nimeajiriwa pia ni mhandisi,imefikia umri wa kuwa na mwenza nahitaji sana binti wa kuoa ila awe mkristo msabato,lutheran etc ,kama yupo pls ani pm ila awe serious na asiwe aliyekwisha tumika sana age nzuri ni 19-26
Kwani mwanaume anaolewa??
 
Kwa kweli Mimi nilipiga magoti kwa Muumba kua anipe Mke mwema.Nikiwa kwenye basi tukachati badae kumbe kuja kujuana kumbe anasomea Ualimu.Ila we omba Mke mwema utapata.usitake kazi zao.
 
Aiseeh ng'ombe wa maskini hazai, vigezo vyote ninavyo tatizo sijaelewa hicho kigezo cha kuto kutumika sana tafadhali mkuu naomba ufafanuzi juu ya hicho kigezo ili hii fursa isinipite [emoji26][emoji26]
Mwalimu salamu
 
Mi nimetumika sana na nina miaka 30, ukikosa uje kwangu tusogeze gurudumu la maisha mbele ndoa ni zaidi ya hizo sifa ulizotoa
 
😀😀😀😀😀 mzee labda upande mgomba uani kwako .....mana kupata ambaye ajatumika sana n ndoto sana hasa kwa nyakati hizi.
 
Asiyetumika sana!! Ungeandika Mile-Ages unahitaji range Ipi Labda wangekuelewa.....
 
Back
Top Bottom