Nahitaji ushauri kwa mtaji wa 40 milionI

Nahitaji ushauri kwa mtaji wa 40 milionI

Kwa ushauri wangu Naona uanzishe biashara ya kilimo,ni biashara ambayo inahatari ndogo (risk) na uwezekano wa kupata faida yako ni mkubwa, unaweza kuingia katika kilimo Moja moja Kwa Moja au ukafanya agri bussiness.Pia unaweza kufanya kilimo cha ufugaji wa kuku WA Mayai au nyama.Cha msingi angalia Mkoa unaienda kufanya hicho kilimo ni Aina gani ya kilimo itakufaa zaidi,lakina kama utaweza kufanya yoyote katika maeneo iliyopo,cha msingi angalia uwepo wa soko,na idadi ya washindani,bila kusahau kuwa ubunifu ndio kitu kitakachokupa uwezekano mkubwa WA kukuza biashara yako,Kwa ushauri Zaid WA kibiashara wasiliana na Mimi;
Raphael kalolo,(mwanafunzi wa shahada ya kwanza katika maswala ya biashara Katika chuo cha biashara (CBE,dar es salaam)
phone:+255756401790
email; raphaelmathewkalolo@gmail.com
Instagram:raphaelkalolo23
 
Hongera kuwa na wazo la kuinvest ukiwa shuleni.

Biashara ya usafirishaji ni risk sana kupoteza mtaji. Nina uzoefu kwenye hili

Kama utaweza nenda uweke hizo hela benki kwenye fixed deposit account wakati ukiendelea na masomo, na kiasi kidogo maybe 5M nenda uwekeze UTT ili uewe unazungusha kupata hela ya kujikimu.

Jitahidi kukwepa vishawishi vya makundi hapo chuoni ili uje uhitimu ukiwa salama kiafya (afya ya akili na mwili), kwani una nafasi kubwa ya kuja kufanikiwa as tayari una mtaji wa kuanzisha safari yako ya mafanikio.

Kila la kheri.
Nakazia hapa,kwa mwanafunzi si vema kujiingiza kwenye stress za biashara.

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Nakazia hapa,kwa mwanafunzi si vema kujiingiza kwenye stress za biashara.

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Sahihi mkuu

Vyema awekeze huko UTT awe anapewa faida tu.

Nikiwa fourth year nilikuwa nafanya biashara hapo mjini, ilinipa stress sana maana tbs/Wakala wa vipimo/tfda walikuwa wananisumbua kutaka rushwa kila leo mwishoni nikaamua kufunga biashara yenyewe 🙌
 
Sahihi mkuu

Vyema awekeze huko UTT awe anapewa faida tu.

Nikiwa fourth year nilikuwa nafanya biashara hapo mjini, ilinipa stress sana maana tbs/Wakala wa vipimo/tfda walikuwa wananisumbua kutaka rushwa kila leo mwishoni nikaamua kufunga biashara yenyewe [emoji119]
Yes biashara ukiwaona watu wanafanya utadhani rahisi ila ingia sasa uone stress zake.
Kwenye biashara kuna stress za kukimbizana na wateja wa cash+wa madeni ambao wengine ni wagumu kulipa,kuna stress za kuwindana na competitors,kuna stress za kukimbizana na wafanyakazi wako ambao wengine si waaminifu,kuna stress za kukimbizana na mamlaka mbalimbali za serikali utasoma saa ngapi.
Na bado ukilala usiku unapiga hesabu/plans za kuiboresha biashara yako ili kuwashinda wapinzani wako.

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Yes biashara ukiwaona watu wanafanya utadhani rahisi ila ingia sasa uone stress zake.
Kwenye biashara kuna stress za kukimbizana na wateja wa cash+wa madeni ambao wengine ni wagumu kulipa,kuna stress za kuwindana na competitors,kuna stress za kukimbizana na wafanyakazi wako ambao wengine si waaminifu,kuna stress za kukimbizana na mamlaka mbalimbali za serikali utasoma saa ngapi.
Na bado ukilala usiku unapiga hesabu/plans za kuiboresha biashara yako ili kuwashinda wapinzani wako.

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Yeah ni kweli Mkuu, biashara inahitaji muda na nafasi.
 
Hongera kuwa na wazo la kuinvest ukiwa shuleni.

Biashara ya usafirishaji ni risk sana kupoteza mtaji. Nina uzoefu kwenye hili

Kama utaweza nenda uweke hizo hela benki kwenye fixed deposit account wakati ukiendelea na masomo, na kiasi kidogo maybe 5M nenda uwekeze UTT ili uewe unazungusha kupata hela ya kujikimu.

Jitahidi kukwepa vishawishi vya makundi hapo chuoni ili uje uhitimu ukiwa salama kiafya (afya ya akili na mwili), kwani una nafasi kubwa ya kuja kufanikiwa as tayari una mtaji wa kuanzisha safari yako ya mafanikio.

Kila la kheri.
mimi huwa nasema kuweka fedha inahitaji nidhamu ya hali ya juu unajua unaweza ukawashwa kipele ukatamani umwajiri mtu akukune..kuweka fedha ni swa na kuweka stock ya mlo tumboni kwamba ule sana asubuhi ili mchana na usiku usile....gari pasua kichwa kama huna muda w akulifuatilia na kukaza japo mimi natafuta canter yangu nikomae mwenyewe au tractor yako moja na jembe lake unatulia msimu ukiwadia unaenda kuvimba unakusanya kibuna unaipack....ukimaliza chuo uanzama mazima kwenye hio ishu hata kama ni kuitengenezea tela...
 
mimi huwa nasema kuweka fedha inahitaji nidhamu ya hali ya juu unajua unaweza ukawashwa kipele ukatamani umwajiri mtu akukune..kuweka fedha ni swa na kuweka stock ya mlo tumboni kwamba ule sana asubuhi ili mchana na usiku usile....gari pasua kichwa kama huna muda w akulifuatilia na kukaza japo mimi natafuta canter yangu nikomae mwenyewe au tractor yako moja na jembe lake unatulia msimu ukiwadia unaenda kuvimba unakusanya kibuna unaipack....ukimaliza chuo uanzama mazima kwenye hio ishu hata kama ni kuitengenezea tela...
Kama ulivyosema, fedha inahitaji nidhamu ya hali ya Juu kutunza.

Kwa age yake ya miaka 20 anahitaji kuitunza hela yake sehemu salama wakati anaendelea kukua kimwili na kiakili.

Ndiyo maana nilimshauri vile.
 
Hakuna biashara yenye uhakika wa pesa wala biashara isiyo na uhakika wa pesa,
Biashara hutakiwi kushauriwa,
Biashara ni mchakato wa kuangalia kwanza wewe unaweza kufanya nn,
Hakikisha unafanya unachoweza,
Usifanye kwasababu umesikia kinalipa,
Hakuna kisicholipa,
Hicho unachosikia kinalipa kunamtu hataki kukisikia,
Kikubwa usifanye biashara mshenzi,
Mambo ya kuweka milion 40 faida laki 3 kwa mwezi acha kabisa ujinga huo,
Utachelewa sana kufanikiwa,
Angalia unaujuzi gani fanya biashara,
Usihesabu kama unamtaji wa milion 40
Hesabu unamtaji wa milion 20,
Kwahyo anza na biashara ya milion 20,
Mwanzo wa biashara huwa ni mgumu sana,
Mtaji ukidrop unaboost kidogo kidogo hvyohvyo mpaka utasimama vizuri,
Biashara nyepesi zaidi ni nnayoweza kukushauri ni KUBET,
najua wengi mtaona kichekesho lakini kama utanichukulia serious basi unaweza kufanikiwa,
Kubeti ni kazi rahisi sana kwa sisi ambao hatujazaliwa kwenye mifumo ya kimangi mangi,
Mtu anatoka home na milioni 50 anaingia Casino kubet usimuone fala yule,
Anafanya anachokijua na anauhakika nacho,
Ntaandaa uzi mmoja sikumoja unaohusu biashara rahisi ya kubet,
Atakaekuwa makini na hilo atafanikiwa mpaka atashangaa,
Kikubwa usiwe na tamaa tuu na uwe na mtaji
Kaeni tayari
Lakini usilete mambo ya dini huku [emoji23][emoji23]
Maana hakuna dini inayokubali kamali,
Kama wewe unaamini dini kaa mbali na sisi dini less [emoji23]
Kwanza ukiweka tu huo uzi wa kubeti nijulishe chap mkuu niusome
 
Tafuta odds 10 ndani ya saa 2 una Milion 400, uliipata hiyo Milion mianne tafuta odds 10 zingine una Bilion nne hiyo inakutosha mpaka ufe tumia laki moja kila siku kwa Miaka 90
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila wabongo jamani
 
Mkuu assumptions yangu huo ni Urithi.Assumption yangu ya Pili wewe ni mwanachuo ingawa sijajua unasoma Kozi gani.

Umesema Unahitaji angalau TZS 70000 kwa siku ambayo ni sawa na TZS Milioni 2 kwa mwezi ambayo ni sawa na Milioni 24 kwa mwaka ambayo ni sawa na return ya 50% kwa mwaka ambayo ni sawa na 5% kwa mwezi.

Pia nimeona kwamba Hela yako kwa sasa hauna mahitaji nayo sana ispokuwa kuitumia Ila miaka mitano baada ya sasa hivi utaihitaji sana.

Sasa Ushauri wangu kwako ni Huu.

Iweke Pesa yako kama 30Milion kwenye FIXED Deposit yenye Riba nzuri.Tembea Kwenye mabenki uone Rates zao.Uweke angalau kwa mwaka Mmoja.

Katika Milioni 40 Utabakiwa na Milioni 10.Umesema Hutaki Duka so Ili nikushauri kwa uhakika Hiyo 10 M ufanye nayo nini Ningependa nifahamu unasomea Kozi gani huko chuoni n Pembeni ya Biashara ya Gari ya hesabu ya 70,000 kwa siku ni eneo gani ambalo una interest Nalo.


Ila nkusisitizi tena 30 Milioni iweke kwenye FIXED DEPOSIT Mapema wala usiwaze mara mbili kwani Ukichelewa utabadili mawazo.
 
Fungua kituo cha polisi ajiri migambo wawili, anza na vibaka watatu na wafanye doria kwenye vilabu vya pombe lazima mtapata wahalifu wengi. Mkiwakamata lazima watoe pesa, kuingia kituoni bure lakini kutoka na pesa! Ndani ya week mna pesa za kutosha mnafunga kituo, mnakihamisha mitaa mingine ndani ya mwezi hiyo 40million itakuwa imeongezeka sasa njoo tufanye biashara ya soya [emoji23][emoji23][emoji23]
Huu ushauri unautoa sana kila raia zinapoomba maoni juu ya biashara, utatupotezea vijana wetu[emoji23].
 
Huu ushauri unautoa sana kila raia zinapoomba maoni juu ya biashara, utatupotezea vijana wetu[emoji23].

Huo ushauri ndio wenyewe bro, kikubwa akipiga mkwanja asinisahau ya soda [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nampa codes za wahabeshi
 
[emoji1][emoji1]

Hizo code hawatoi hovyo hovyo ilitakiwa alipie, lakini me nimempa bureee

Najua kuna maninja wataruka nayo code ila wasinisahau wakifanikiwa sister yao [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hizo code hawatoi hovyo hovyo ilitakiwa alipie, lakini me nimempa bureee

Najua kuna maninja wataruka nayo code ila wasinisahau wakifanikiwa sister yao [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji16][emoji16]

Kikubwa apate migambo wa maana ambao wakienda kutafuta wahalifu hawakosei, ukikamata 20 kila siku halafu aache tamaa kila kichwa apige 50K, hatajiriki huyu kijana?

Sidhani atakuwa na moyo usiokuwa na shukrani kiasi hicho, kiasi kwamba asikukumbuke mtoa wazo.
 
[emoji16][emoji16]

Kikubwa apate migambo wa maana ambao wakienda kutafuta wahalifu hawakosei, ukikamata 20 kila siku halafu aache tamaa kila kichwa apige 50K, hatajiriki huyu kijana?

Sidhani atakuwa na moyo usiokuwa na shukrani kiasi hicho, kiasi kwamba asikukumbuke mtoa wazo.

Hilo ndio muhimu migambo wakaze pesa zingine sio mpk kituoni, wanamalizana njiani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wasiponikumbuka watakamatwa wao pamoja na wahalifu wenzao [emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom