kuna mtaalamu mmoja yupo sehemu unaitwa nyumba ya mungu katika wilaya ya mwanga hapa moshi.huyu mzee amesaidia watu wengi sana hadi madaktari wenye saratani mbalimbali amewasaidia na wamepona!kiukweli huyu mzee ni bingwa na hana gharama kubwa ila masharti yake ya kukutibu usiwe umechomwa mionzi na kansa isiwe katika ya mwisho kabisa!kwa hapo anakutibu na unapona kabisa mimi nna ushuhuda wa dada yangu alipata ya ziwa mwaka 2000 alitibiwa hadi leo amepona kabisa.na ameshapeleka ndugu na jamaa wengi kwa huyo mzee na wamepona kabisa.dawa za hospitali hazitibu zaidi ya kukudhoofisha tu.tafuta muda nenda hapo nyumba ya mungu ulizia KOKOTO utapelekwa na gharama zake hata elf50 haifiki halafu uje ulete mrejesho hapa ukichekelea