Nahitaji ushauri wenu kuhusu uhusiano wangu na mke wangu

Nahitaji ushauri wenu kuhusu uhusiano wangu na mke wangu

Mzee wew cheza part Yako Karne hii maku siyo ya kuitolea San macho., ila akishika tu ujamzito Anza kuandaa Hela ya DNA.
 
Ukimchunguza bata hwezi kumla so potezea ni suala la mda atamsahau kingine mzalishe awe na majukumu akose mda wa mambo hayo

Muambie tu jamaa ukweli, mke wake tu sio kwamba ana upendo Ila pia ana obsession na huyo jamaa ndio maana hata baada ya miaka mitano ya mahusiano. Bado anaishi akilini mwake

Nachokiona roho ya mwanamke inatapatapa, yawezekana anajua husband ni mtu sahihi kwake Ila upendo alionao kwa jamaa mwingine bado unamsumbua. Ndio maana katengeneza account ya siri TikTok ili asiache hata ushahidi kwenye browser au popote sababu anaheshimu na kujali hisia za mumewe Ila hajui cha kufanya juu ya hisia zake.

Sasa hapo kuna mawili

Aidha Ex kasha_move on na ana maisha yake kiasi hataki mawasiliano na bi dada ndio maana anahangaika. Sio ajabu kusiwe na tiktok tu, hata line ya siri inaweza kuwepo

Au Ex anamcheki au kuna point of contact ipo ila bi dada anajizuia.

So hapo jamaa akubaliane na hali, pengine mkewe anamjali, kumuheshimu na kaupendo kiasi anako kwake. Ila chaka la mke wake lipo kwa huyo Ex sasa happ itategmeana na uamuzi wa Ex. Kama akimkomalia vizuri, mkewe chances za kuruka kiunzi ni ndogo sana
 
Ex wangu niliyeachana nae mwanzoni mwa 2016 lakini hadi muda huu sijamsahau, hana kitu cha upekee
Atakuwa alikuwa anakupga mashuti ya mbali kama Ronaldo, mixer kutumia miguu yote kama Messi😃
 
Hapana unakosea unaposema “mke wangu” sahihi sema ”mke wetu” kwa sababu once ulimuoa hana bikra ni dhahiri alikuwa na mabwana wengine na ndiyo hao wanaokuletea shida.

Achana na hiyo takataka utakufa siku siyo zako.
 
 
Kwanini ulikimbilia ndoa kabla hujawa mwanaume? Hiki ambacho umekiandika na kutaka ushauri ilitakiwa andike mvulana wa kidato Cha nne au sita.
Mkeo ana akaunti 2, moja unaijua na inajulikana na hii nyingine huijui na anaitumia kuwasiliana na x wake halafu unaulizwa ufanye nini? Unamuogopa mkeo? Mkeo ana sauti ndani ya nyumban? ni mkali kwako? Kama jibu ni hapana, kwanini unaogopa kumwambia mkeo kuhusu Hilo suala?

Kuwa mwanaume ndan ya nyumba yako, ipo siku utaletewa mme mwenzako ndani.
 
Nina jambo zito ambalo limenifanya niwe na wasiwasi mwingi, na nataka kupata mawazo ya watu wengine ili nijue ni vipi niendelee.

Hivi karibuni, nilikuwa nikichunguza simu ya mke wangu na kugundua kwamba anayo akaunti nyingine ya TikTok ambayo haina picha wala followers. Nilichokutana nacho kwenye sehemu ya search ya akaunti hiyo kiliashiria kuwa bado anahusiana na ex wake kwa namna fulani, na hii ilinifanya niwe na maswali mengi. Hii imeleta wasiwasi kwangu na kujua kama bado anamhisi ex wake au kama kuna kitu ambacho hajaniambia.

Nashindwa kujua ni hatua gani niichukue. Nataka kujua kama ni vyema kumwambia mke wangu hili na tuzungumze, au kama inafaa kuwaachana na kutafuta mtu mwingine kwa kuwa nampenda, lakini najihisi kama sina uhakika tena na hali yetu.

Je, ni vema kumwambia mke wangu hisia zangu au ni bora nimpe uhuru ili tuendelee na maisha yetu kwa njia tofauti?

Ningependa sana kupata mawazo ya watu ambao wamepitia hali kama hii au wanaweza kutoa ushauri mzuri kuhusu namna ya kushughulikia jambo hili.


View attachment 3225775



View attachment 3225776

1. Mna mda gani wa ndoa?
2. Mna watoto wangapi?

Nijibu haya Halafu nitakushauri!
 
Kijana huna namna ya kuzuia wf asiendelee na ex wake, endelea na mishe zako kijana
 
Mwambie tena mwambie kwa ukali na utoe ultimatum ili akirudia ajue consequences.

Lakini kwa asilimia kubwa atarudia kuwasiliana naye tu na hapo bado ana hisia naye..

Binadamu ana njia nyingi huwezi kumshinda atatafuta kisimu cha tochi atakificha hata sauti hakina ndio atatumia
 
Back
Top Bottom