Nahitaji ushauri wenu kuhusu uhusiano wangu na mke wangu

Nahitaji ushauri wenu kuhusu uhusiano wangu na mke wangu

mmh hiyo search history yake, yuko more than obsessed na Ex wake.
 
Utaletewa ukimwi ww,
Kwa hiyo ukikagua ndiyo huletewi.....?

Piga punyeto...... mahusiano mnaongea na kushauriana....huwezi ukaniambia eti ushinde kuipekenyua simu kisa unaogopa magonjwa.

Mfano mimi nikitaka kucheat hata uangalie kwenye simu hakuna kitu.
 
Acha kujiletea sukari.

hiyo sio history. Ni tiktok suggestions.

Sijui kwann tiktok wanafanya hivo,
Angalia ya kwangu hapa na hua si search chochote ni ku scrol tu kinacho kuja
 

Attachments

  • Screenshot_20250205-201453.png
    Screenshot_20250205-201453.png
    214.9 KB · Views: 4
Ndoa ina miaka miwili nanusu
Tulijuana naye 2017 tukaoana 2022
Mke wangu miaka 27
Yaani tangu mjuane hadi sasa ni miaka 7 lakini bado hajatulia,huebda haukufanya chaguo sahihi au hajakupenda yuko na wewe kwa sababu ya uhakika wa maisha kwenye upande wa kipato ila akili yake haiko na wewe.
 
Ndoa sio kubeti kaka.. Wewe ndo mwenye maisha yako na mke wako. Ukisikiliza ushauri wa kila mtu utazidi kuchanganyikiwa mana kila mmoja ana akili yake na maamuzi yake, Labda ungetafuta mtu mmoja unayemwamini ndo umuombe ushauri kuliko kuja kuomba huku mana kuna wengine watakukejeli na vtu kama izo ambavyo bado vitakutia stress.

Wewe ndo muamuzi wa mwisho wa maisha yenu kwenye ndoa yako.

SIMAMA KIUME AMUA KAMA MWANAUME UTIE HURUMA.🙋🏻‍♂️
Wengi wape mkuuu....Apa tutatoa madini inawezekana hata ww yakakusaidia huko baadae,sharing is caring tambua hilo
 
Back
Top Bottom