Japkas
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 3,011
- 4,617
Aseme anachujua asipoacha itakuwa ni kwa uamuzi wakeKwani akimwambia ndio ataacha??,hawezi acha ila atajificha zaidi.cha mzingi ni kuachana nae tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aseme anachujua asipoacha itakuwa ni kwa uamuzi wakeKwani akimwambia ndio ataacha??,hawezi acha ila atajificha zaidi.cha mzingi ni kuachana nae tu.
Kwa hiyo ukikagua ndiyo huletewi.....?Utaletewa ukimwi ww,
Sio kweli mkuu, Mnamjaza mleta maada, hiyo ni search suggestions.mmh hiyo search history yake, yuko more than obsessed na Ex wake.
Yaani tangu mjuane hadi sasa ni miaka 7 lakini bado hajatulia,huebda haukufanya chaguo sahihi au hajakupenda yuko na wewe kwa sababu ya uhakika wa maisha kwenye upande wa kipato ila akili yake haiko na wewe.Ndoa ina miaka miwili nanusu
Tulijuana naye 2017 tukaoana 2022
Mke wangu miaka 27
Subiri afikishe miaka 33 au 35 ndio umuache!!Ndoa ina miaka miwili nanusu
Tulijuana naye 2017 tukaoana 2022
Mke wangu miaka 27
Sikuzote afuUna tabia za kike.
Wengi wape mkuuu....Apa tutatoa madini inawezekana hata ww yakakusaidia huko baadae,sharing is caring tambua hiloNdoa sio kubeti kaka.. Wewe ndo mwenye maisha yako na mke wako. Ukisikiliza ushauri wa kila mtu utazidi kuchanganyikiwa mana kila mmoja ana akili yake na maamuzi yake, Labda ungetafuta mtu mmoja unayemwamini ndo umuombe ushauri kuliko kuja kuomba huku mana kuna wengine watakukejeli na vtu kama izo ambavyo bado vitakutia stress.
Wewe ndo muamuzi wa mwisho wa maisha yenu kwenye ndoa yako.
SIMAMA KIUME AMUA KAMA MWANAUME UTIE HURUMA.🙋🏻♂️
hujaona search history I want my ex back.,...na hizo zinakuja kutokana na vitu unavyopendaAcha kujiletea sukari.
hiyo sio history. Ni tiktok suggestions.
Sijui kwann tiktok wanafanya hivo,
Angalia ya kwangu hapa na hua si search chochote ni ku scrol tu kinacho kuja