Hasa hii tabia ya kupotea na chenji ndio mbaya sana.Isiwe kigezo pekee! Nimesema wengi wanafanya kosa la kuchagua hiki kama kigezo pekee. Matokeo yake ni kuwa bar inapata wateja wengi miezi ya mwanzoni halafu baadae wanakimbia kwa sababu ya huduma mbovu. Halafu kwa taarifa: kutegemea hiki kigezo tu kunavutia wadada wezi na matapeli. Kuna bar nyingi tu nazijua ukikaa vibaya ni lazima upigwe chenji au uongezewe bai.
Hakuna bar utakayoenda ukakosa changamoto za namna hiyo na hayo hutokea endapo utakua hujasajili wahudumu kwa kutumia akili, Kwa mfano mimi nimewapa wahudumu wangu namba ili anapohudumia iwerahisi kwa mteja kukumbuka namba ya mhudumu pindi tu pale linapotokea tatizo kama hayo uliyosema na kesi za namna hiyo kwangu hakuna kabisa nakuhakikishia kwani huwa nipo eneo la biashara mdaa wote labda itokee nimepatwa na dharula ndipo sitakuwa hapo...Na wahudumu wangu wote wanajiheshimu sana kwani nimewaekea mazingira ya urafiki hata wakipatwa na tatizo huwa nasimama nao bega kwa bega...Isiwe kigezo pekee! Nimesema wengi wanafanya kosa la kuchagua hiki kama kigezo pekee. Matokeo yake ni kuwa bar inapata wateja wengi miezi ya mwanzoni halafu baadae wanakimbia kwa sababu ya huduma mbovu. Halafu kwa taarifa: kutegemea hiki kigezo tu kunavutia wadada wezi na matapeli. Kuna bar nyingi tu nazijua ukikaa vibaya ni lazima upigwe chenji au uongezewe bai.
Hili tatizo kwangu nimelidhibiti vizuri na hakuna shida kama hii hapa...Hasa hii tabia ya kupotea na chenji ndio mbaya sana.
Basi mzeya leo wikend nitatika huko tabata kwa wala bata ila warembo wenye misambwanda wawepo bwanaHili tatizo kwangu nimelidhibiti vizuri na hakuna shida kama hii hapa...
Utakutana nao kama wote ondoa shaka..Basi mzeya leo wikend nitatika huko tabata kwa wala bata ila warembo wenye misambwanda wawepo bwana
Vipi mzeya huna nafasi hapo pembeni niweke kibanda cha kuuza chupi na sidiria za waremboUtakutana nao kama wote ondoa shaka..
Wapo jamaa ng’ambo ya bar wanafanya hizo shughuli mimi sifanyi hizo...kwani hapa pamejitosheleza kwa kila kitu...Vipi mzeya huna nafasi hapo pembeni niweke kibanda cha kuuza chupi na sidiria za warembo
Hahahaaa!Nshakula sana vyombo hii sehemu
Mleta tangazo
Tuma salamu kwa watu watatu
Hapendelei kufanya kazi ndani ya bar ila upande wa kutengeneza fresh juice na kuhudumia pia...Mkuu yupo binti anahitaji kazi na ana kielim nadhan atajifunza haraka
Now you are talking! Exactly hili ndilo nililokuwa nasema: kusajili wahudumu kwa akili na siyo kutumia kigezo kimoja cha ''pisi kali'' bila kusahau usimamizi mzuriHakuna bar utakayoenda ukakosa changamoto za namna hiyo na hayo hutokea endapo utakua hujasajili wahudumu kwa kutumia akili, Kwa mfano mimi nimewapa wahudumu wangu namba ili anapohudumia iwerahisi kwa mteja kukumbuka namba ya mhudumu pindi tu pale linapotokea tatizo kama hayo uliyosema na kesi za namna hiyo kwangu hakuna kabisa nakuhakikishia kwani huwa nipo eneo la biashara mdaa wote labda itokee nimepatwa na dharula ndipo sitakuwa hapo...Na wahudumu wangu wote wanajiheshimu sana kwani nimewaekea mazingira ya urafiki hata wakipatwa na tatizo huwa nasimama nao bega kwa bega...
Uzuri na mvuto kwa mhudumu lazima mkuu!Now you are talking! Exactly hili ndilo nililokuwa nasema: kusajili wahudumu kwa akili na siyo kutumia kigezo kimoja cha ''pisi kali'' bila kusahau usimamizi mzuri
Karibu sana mkuu! Upate mbuzi choma na flying fish baridi...Ahsante kwa taarifa...
Karibu sana mkuu!Nitakuja kunywa bea hapo, sijawahi kufika.
Uko wapi, unaweza kupika chapati, mgahawa upo kigamboniIngekuwa wakupika chapati ningekuja faster