recho Jr
JF-Expert Member
- Apr 26, 2023
- 214
- 434
OkayKwa sasa unafanyia wapi shughuli zako?
Naomba tuongee PM tafadhali kuna jambo tunaweza tukalifanya kwenye upande wa bites...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OkayKwa sasa unafanyia wapi shughuli zako?
Naomba tuongee PM tafadhali kuna jambo tunaweza tukalifanya kwenye upande wa bites...
Yule aliyeliwa tope?Mtafute mariamu biriani akupigie kazi hapo
Kwa hiyo asiweke wenye misambwand na sura nzuriUshauri wangu: Unakaribia kufanya kosa linalofanywa na wafanya biashara wengi wa kutoa huduma Bongo. Wengi hudhani kuwa urembo wa mwanamke ndiyo mvuto kwa wateja na hivyo biashara kufanya vizuri. This is totaly wrong. Biashara nyingi za maduka, Bar na hotel na hata office za kutoa huduma kama M-pesa nk zimefeli kwa sababu ya kuweka wanawake warembo. Trust me. Tatizo kubwa ni kuwa wanawake wengi warembo Bongo wanapokuwa sehemu kama hizo huleta madharau na wanapoona wanagombewa na wateja wanakuwa na nyodo kali sana. Wanapata viburi na mara nyingi wanakuwa na wateja wao special wanaowaheshimu huku wakifanya dharau kwa wale ambao wanaonekana kama hawana uchumi mzuri. Ninachokushauri ni kuwa angalia tabia na siyo sura. Najua utakuwa unajidanganya kuwa utakuwa unawafundisha na kuwasimamia muda wote ili wa-behave vizuri lakini kwa uzoefu wangu customer care nzuri inatoka moyoni na siyo kuongozwa!
Wee tunaweza fanya biasharaIngekuwa wakupika chapati ningekuja faster
Ahsante sana mkuu! Karibu tena na tena...Safi. Eneo langu la misosi nikishuka mwewe nikielekea mbezi.
Alimaanisha huyo huyo...🤣🤣🤣Yule aliyeliwa tope?
Alijaribu kunishauri lkn sijapokea ushauri wake...Kwa hiyo asiweke wenye misambwand na sura nzuri
Hata Mimi nilijiuliza kwa sauti ya kunong'onaNajaribu kutafakari uhusiano wa kutengeneza juisi na urembo
Kwa hiyo wanatengeneza na ku serve wao hao wenyewe?Warembo ni sehemu ya mvuto kwa wateja ili kuweka ushawishi kwenye kazi..😂
Huwa unazunguka kwenye sehemu za starehe mkuu!Hata Mimi nilijiuliza kwa sauti ya kunong'ona
Nina utaratibu wa kupanga zamu kwa wiki kwenye utengenezaji...Kwa hiyo wanatengeneza na ku serve wao hao wenyewe?
Wee weka wenye sura na chura tuje kunywa juice hapo bwana.....uwezi jua tunaweza pata mke kabisaAlijaribu kunishauri lkn sijapokea ushauri wake...
Vipi mzee sie vidume sura pesono hutaki kutupa tenda hiyoHongera sana mkuu panaonekana pako poa sana hapoo..
Samahani kwa kuvamia uzi.
Natafuta mdada pia kwa ajili ya biashara za miamala eneo ni mbezi mwisho.
Awe na mdhamini na taarifa za mdhamini pia.Mshahara ni makubaliano PM ipo wazi kabisa kwa mwenye kuweza kusaidia kufanikisha hilo.
😁😁😁 mtanisamehe mkuu kwa sasa nimepanga kufanya hivyoVipi mzee sie vidume sura pesono hutaki kutupa tenda hiyo
Mkuu yupo binti anahitaji kazi na ana kielim nadhan atajifunza harakaNaamini utawapata, wakizidi naomba namimi unipunguzie/uniunganishie wawili tu utakaowapata
Kazi ni ya uuzaji wa duka la electronics, Mahali ni mbezi Mwisho ILA kwasasa acha tupige tarumbeta
wapatikane wa juice,tupate juice za kueleweka,Tester nipo hapa
Hakuna shida ondoa shaka na imani utapata unachohitaji...Bless up!Hongera sana mkuu panaonekana pako poa sana hapoo..
Samahani kwa kuvamia uzi.
Natafuta mdada pia kwa ajili ya biashara za miamala eneo ni mbezi mwisho.
Awe na mdhamini na taarifa za mdhamini pia.Mshahara ni makubaliano PM ipo wazi kabisa kwa mwenye kuweza kusaidia kufanikisha hilo.
Team Baracuda Bar & Lounge Dj’s leo ni moto sana furahiii day 🔥🔥🔥View attachment 2666743View attachment 2666744
Karibu sana...Ahsanteni sana...
Isiwe kigezo pekee! Nimesema wengi wanafanya kosa la kuchagua hiki kama kigezo pekee. Matokeo yake ni kuwa bar inapata wateja wengi miezi ya mwanzoni halafu baadae wanakimbia kwa sababu ya huduma mbovu. Halafu kwa taarifa: kutegemea hiki kigezo tu kunavutia wadada wezi na matapeli. Kuna bar nyingi tu nazijua ukikaa vibaya ni lazima upigwe chenji au uongezewe bai.Kwa hiyo asiweke wenye misambwand na sura nzuri