Nahitaji wahudumu mabinti warembo watatu(3) wenye uzoefu wa utengenezaji wa fresh juice aina zote

Nahitaji wahudumu mabinti warembo watatu(3) wenye uzoefu wa utengenezaji wa fresh juice aina zote

Najaribu kutafakari uhusiano wa kutengeneza juisi na urembo
Mkuu sio kwa ubaya, Amini nakwambia.

Kazi nyingi sasa zinahitaji warembo,umeshawahi ingia ofisi flani ukakuta wadada wake wote wazuri?

Unahisi huwa inatokeaga bahati mbaya? hapana dear UREMBO ulimwengu wa sasa ni moja ya CV kwa mwanamke

si kwamba unaenda kuuzwa,au unapelekwa kwa ajili ya wanaume LA HASHA ila nakuhakikishia mdada mrembo

hushawishi hata mtu Kula chakula chake,kuna sura sisemi mbaya ila hata kama ina vigezo vyote (huwezi mpa ajira)

si kwa ubaya ila kuna nature ya kazi zinahitaji usmartness,mtu mzuri,mtu simple,nk si kwa ubaya au mawazo potofu hii ni Kibiashara tu zaidi.
 
Mkuu sio kwa ubaya, Amini nakwambia.

Kazi nyingi sasa zinahitaji warembo,umeshawahi ingia ofisi flani ukakuta wadada wake wote wazuri?

Unahisi huwa inatokeaga bahati mbaya? hapana dear UREMBO ulimwengu wa sasa ni moja ya CV kwa mwanamke

si kwamba unaenda kuuzwa,au unapelekwa kwa ajili ya wanaume LA HASHA ila nakuhakikishia mdada mrembo

hushawishi hata mtu Kula chakula chake,kuna sura sisemi mbaya ila hata kama ina vigezo vyote (huwezi mpa ajira)

si kwa ubaya ila kuna nature ya kazi zinahitaji usmartness,mtu mzuri,mtu simple,nk si kwa ubaya au mawazo potofu hii ni Kibiashara tu zaidi.
Upo sahihi sana nimezingatia hayo yote ndio maana nikaona niwashirikishe hata waliombali kidogo na maeneo haya huenda nikapata warembo wakali zaidi..
 
Ooh asante nafanya kitu kingine. Nitajaribu kukuangalizia kwa wakati. Itabidi atakayepatikana ajiunge akutafute pm.
Inabidi iwe hivyo kwa sababu nilihofia kuweka namba public for safety reasons..

Ahsante sana kwa moyo wako wa kujitoa karibu sana Baracuda Bar & Lounge kwa chakula siku moja
 
Hilo halina shida kama kazi inaenda vizuri mimi huwa simzuii mrembo kuruka na mteja yoyote kwani huwa najua itakua ni moja ya kumvuta huyo mteja arudi tena na tena..
Naajiri warembo sehemu zangu flani flani ila moja ya masharti ya Kazini kwangu na Mkataba nimekoleza kwa Kubold hayo maandishi

Ni marufuku kuwa na mahusiano na Mteja na ikigundulika basi "huna kazi" lakini ni lazima uwe rafiki na wateja tena urafiki mzuri unaovutia kila siku.

Mteja anapolala na mfanyakazi wako unasababisha mteja huyo kupotea kwani wateja 99% wanaoanzisha mazoea na wafanyakazi ni sababu ya Tamaaa hivyo ni nadra sana kuwa na mapenzi ya kweli.

hivyo basi Akishafanikiwa kumla mfanyakazi wako usitegemee ataendelea kuja hapo kuna Mawili

A.Umpoteze Mteja
B.Umpoteze Mfanyakazi

Kama kiongozi nawahitaji wote wawili na ili kufanikisha hili MKATABA lazima uwe wazi MARUFUKU iwe kubwa na yenye msisitizo.
 
Inabidi iwe hivyo kwa sababu nilihofia kuweka namba public for safety reasons..

Ahsante sana kwa moyo wako wa kujitoa karibu sana Baracuda Bar & Lounge kwa chakula siku moja
Nilishawahi kuja mna chakula kizuri nyama. Na sasa mmeitengeneza vizuri zaidi. Je wakija moja kwa moja pale? Inakuwa rahisi kumtathimini. Kuna mmoja acha nimcheck atakuja.
 
Habari wanajamii...

Natoa fursa kwa mabinti warembo watatu(3) wenye uzoefu wa utengenezaji wa fresh juice aina zote kwa kiwango cha juu na wanaozingatia usafi sana.

Eneo ni Bar maarufu iliyopo Dar Es Salaam, maeneo ya Tabata inafahamika kwa jina BARACUDA BAR & LOUNGE.

Malipo ya kazi nalipa kwa siku(POSHO) kulingana na mauzo ya siku yanavyopatikana na kiwango cha malipo hutegemea na order zilizouzwa na huyo mhudumu, Bar inatoa huduma mbalimbali za vyakula aina zote kama mbuzi Choma, Kuku Choma, Samaki Choma, Wali, Ugali na Mchemosho aina zote una pata, Pia ndani ya Bar tunatoa huduma ya ukumbi kwa ajili ya sherehe mbalimbali kama KITCHEN PARTY, SEND OFF, WEDDINGS pamoja na shughuli nyinginezo nyingi.

Kwa aliyetayari na mwenye uhitaji karibu PM kwa mazungumzo zaidi na kupata mawasiliano ya moja kwa moja na Manager wa hapo BARACUDA BAR & LOUNGE.

Ahsanteni na Karibuni sana...
View attachment 2665372View attachment 2665373View attachment 2665374View attachment 2665375View attachment 2665376View attachment 2665377
Mkianza huduma ya🐷🐖 nistue hasa iwe ya KUCHOMA

😋😋
 

Attachments

  • Screenshot_20230622-173700_Google.jpg
    Screenshot_20230622-173700_Google.jpg
    228.9 KB · Views: 1
Naajiri warembo sehemu zangu flani flani ila moja ya masharti ya Kazini kwangu na Mkataba nimekoleza kwa Kubold hayo maandishi

Ni marufuku kuwa na mahusiano na Mteja na ikigundulika basi "huna kazi" lakini ni lazima uwe rafiki na wateja tena urafiki mzuri unaovutia kila siku.

Mteja anapolala na mfanyakazi wako unasababisha mteja huyo kupotea kwani wateja 99% wanaoanzisha mazoea na wafanyakazi ni sababu ya Tamaaa hivyo ni nadra sana kuwa na mapenzi ya kweli.

hivyo basi Akishafanikiwa kumla mfanyakazi wako usitegemee ataendelea kuja hapo kuna Mawili

A.Umpoteze Mteja
B.Umpoteze Mfanyakazi

Kama kiongozi nawahitaji wote wawili na ili kufanikisha hili MKATABA lazima uwe wazi MARUFUKU iwe kubwa na yenye msisitizo.
Kwa upande wa bar nimezingatia vizuri hayo tena kwa weledi mkubwa sana..Ila kwa hawa wa juice ni tofauti kidogo kwa sababu hawa hawana mkataba na mshahara kwani hawa huwa nawalipa posho per day that’s why!
 
Back
Top Bottom