IamBrianLeeSnr
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 2,010
- 4,179
- Thread starter
- #21
Wewe ni yupi hapo kati ya hizo 🤣🤣Mbona umewek picha yangu hadharani mzee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni yupi hapo kati ya hizo 🤣🤣Mbona umewek picha yangu hadharani mzee
Huyo mangi kikofia nahisi ndio mwenye kaziHabari wanajamii...
Natoa fursa kwa mabinti warembo watatu(3) wenye uzoefu wa utengenezaji wa fresh juice aina zote kwa kiwango cha juu na wanaozingatia usafi sana.
Eneo ni Bar maarufu iliyopo Dar Es Salaam, maeneo ya Tabata inafahamika kwa jina BARACUDA BAR & LOUNGE.
Malipo ya kazi nalipa kwa siku(POSHO) kulingana na mauzo ya siku yanavyopatikana na kiwango cha malipo hutegemea na order zilizouzwa na huyo mhudumu, Bar inatoa huduma mbalimbali za vyakula aina zote kama mbuzi Choma, Kuku Choma, Samaki Choma, Wali, Ugali na Mchemosho aina zote una pata, Pia ndani ya Bar tunatoa huduma ya ukumbi kwa ajili ya sherehe mbalimbali kama KITCHEN PARTY, SEND OFF, WEDDINGS pamoja na shughuli nyinginezo nyingi.
Kwa aliyetayari na mwenye uhitaji karibu PM kwa mazungumzo zaidi na kupata mawasiliano ya moja kwa moja na Manager wa hapo BARACUDA BAR & LOUNGE.
Ahsanteni na Karibuni sana...
View attachment 2665372View attachment 2665373View attachment 2665374View attachment 2665375View attachment 2665376View attachment 2665377
Warembo ni sehemu ya mvuto kwa wateja ili kuweka ushawishi kwenye kazi..😂Najaribu kutafakari uhusiano wa kutengeneza juisi na urembo
Wrong! 🤣🤣Huyo mangi kikofia nahisi ndio mwenye kazi
Mkuu unaweza nisaidia hili kweli...Nahitaji hao wadada kwakweliHuyo mangi kikofia nahisi ndio mwenye kazi
Hapana mkuu huwa nakwepa lawama, wadada wakifika sehemu hizo wakianza kutongozwa na wateja wanabadilika na utendaji unashuka.Mkuu unaweza nisaidia hili kweli...Nahitaji hao wadada kwakweli
Mkuu unaweza nisaidia hili kweli...Nahitaji hao wadada kwakweli
Nipo serious wewe unachekaWewe ni yupi hapo kati ya hizo 🤣🤣
🤣🤣🤣 sasa mkuu hizi mbona nilizipiga kwa ridhaa ya kila unaemuona hapo na niliwaambia kuwa zitaruka mitandaoni na waliliafiki hilo..🤣🤣🤣Nipo serious wewe unacheka
Hilo halina shida kama kazi inaenda vizuri mimi huwa simzuii mrembo kuruka na mteja yoyote kwani huwa najua itakua ni moja ya kumvuta huyo mteja arudi tena na tena..Hapana mkuu huwa nakwepa lawama, wadada wakifika sehemu hizo wakianza kutongozwa na wateja wanabadilika na utendaji unashuka.
Jitahidi utapata mkuu
Hahahaa! Wewe upo kwenye picha ipi hapo mkuu sema bigup umekuwa supastaa sasa🤣🤣Vijana wako kwanza walituomba kutupiga picha tukiwa tumelewa tusingekubali
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Mbona umewek picha yangu hadharani mzee
Ulipotelea wapi, tuma zawadi yangu ya Birthday faster mpe kaka yangu. Huna binti mrembo huko? Anatakiwa kwa kazi ya juiceHuyo mangi kikofia nahisi ndio mwenye kazi
Jamaa anamikwara kweli yani 🤣🤣🤣🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
mmoja kishajongea hapo juu , mcheki Bantu LadyJamaa anamikwara kweli yani 🤣🤣🤣
Haja funguka naona anaulizia zawadi ya bday ila anyways ngoja nimgusie tuone..mmoja kishajongea hapo juu , mcheki Bantu Lady
Utanishukuru
acha papara, usiwe na harakaHaja funguka naona anaulizia zawadi ya bday ila anyways ngoja nimgusie tuone..
Mambo mrembo.Ulipotelea wapi, tuma zawadi yangu ya Birthday faster mpe kaka yangu. Huna binti mrembo huko? Anatakiwa kwa kazi ya juice