babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Lipia tangazo watakuja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana kwakweli tena wakiwa warembo na wenye kujiheshimu huwa wanavutia haswa yani unaona wateja hawa kauki eneo lako la biashara..Nimeliona hili sehemu nyingi sana..Wanawake warembo huvutia wateja biashara ni akili.
Tayari jamaa ameshaingiza dola 5 kwenye advertisements zinazotokea...Lipia tangazo watakuja
Ushauri wangu: Unakaribia kufanya kosa linalofanywa na wafanya biashara wengi wa kutoa huduma Bongo. Wengi hudhani kuwa urembo wa mwanamke ndiyo mvuto kwa wateja na hivyo biashara kufanya vizuri. This is totaly wrong. Biashara nyingi za maduka, Bar na hotel na hata office za kutoa huduma kama M-pesa nk zimefeli kwa sababu ya kuweka wanawake warembo. Trust me. Tatizo kubwa ni kuwa wanawake wengi warembo Bongo wanapokuwa sehemu kama hizo huleta madharau na wanapoona wanagombewa na wateja wanakuwa na nyodo kali sana. Wanapata viburi na mara nyingi wanakuwa na wateja wao special wanaowaheshimu huku wakifanya dharau kwa wale ambao wanaonekana kama hawana uchumi mzuri. Ninachokushauri ni kuwa angalia tabia na siyo sura. Najua utakuwa unajidanganya kuwa utakuwa unawafundisha na kuwasimamia muda wote ili wa-behave vizuri lakini kwa uzoefu wangu customer care nzuri inatoka moyoni na siyo kuongozwa!Nenda pale KAZIMOTO PORK segera jamaa yupo vizuri pia 🤣🤣🤣
Acha kujipumbaza na hayo mawazo yako..Ushauri wangu: Unakaribia kufanya kosa linalofanywa na wafanya biashara wengi wa kutoa huduma Bongo. Wengi hudhani kuwa urembo wa mwanamke ndiyo mvuto kwa wateja na hivyo biashara kufanya vizuri. This is totaly wrong. Biashara nyingi za maduka, Bar na hotel na hata office za kutoa huduma kama M-pesa nk zimefeli kwa sababu ya kuweka wanawake warembo. Trust me. Tatizo kubwa ni kuwa wanawake wengi warembo Bongo wanapokuwa sehemu kama hizo huleta madharau na wanapoona wanagombewa na wateja wanakuwa na nyodo kali sana. Wanapata viburi na mara nyingi wanakuwa na wateja wao special wanaowaheshimu huku wakifanya dharau kwa wale ambao wanaonekana kama hawana uchumi mzuri. Ninachokushauri ni kuwa angalia tabia na siyo sura. Najua utakuwa unajidanganya kuwa utakuwa unawafundisha na kuwasimamia muda wote ili wa-behave vizuri lakini kwa uzoefu wangu customer care nzuri inatoka moyoni na siyo kuongozwa!
Lisa Ann, Keisha Grey and Allie Haze at Mommy's Girlngoja kwanza nimalize muvi yangu ndo nije kukoment
View attachment 2665540
Wewe huoni ulifanya kosa la kuajiri ''randomly'' kama ulivyosema? Na umesoma vizuri na kuelewa nilichoandika? Mimi siku-suggest uajiri bila vigezo. Nimekutahadharisha tu kuwa kuangalia sura pekee bila tabia nzuri kwa wateja ni kosa! Nasema haya nikiwa na uzoefu mkubwa kabisa kwenye hizi mishe za bar. Ukiangalia sura tu utapata mafanikio ya muda. Mwanzoni itachanganya kweli kweli lakini baada ya muda utafeli. Tatizo la wabongo ni wabishi na wewe pengine unapata wateja wengi sasa hivi hivyo unadhani unajua sana kusimamia bar. Kama umeona nimejipumbaza basi sawa. Mimi nilidhani uungwana ungeshuruku kwa mawazo niliyokupa lakini umeamua kunifyatua.Acha kujipumbaza na hayo mawazo yako..
Nilishawahi kuajiri wadada randomly mwaka flani hivi ila nilistuka sana baada ya kuona wateja wanapungua siku hadi siku nilipofanya research nikagundua kuwa walikua wanakosa vivutio sasa kipindi hicho ikanibidi nianze tena usajili mpya kwa umakini sana na hatimae nilifanikiwa kulitatua tatizo.....Mara nyingi wateja wanapenda wadada wanaovutia kuanzia sura, Mwili hata na rangi pia...
Niliposema randomly nimemaanisha kuanzia sura na elimu sikuviwekea maanani wakati huo ila sasa kwa anaekuja kuomba ajira kwangu lazima awe ni mhitimu wa O’level na mwenye mvuto haswa bila kusahau heshima na ukarimu nimezingatia hayo sana na wengi wanaokuja huwa nafanya mchujo kabla ya kuwachukua na kuingia nao mkataba...Nimeangazia kudili na mabinti warembo tu kwenye maeneo yangu ya biashara zangu kwa ujumla na hili halitabadilika, Pia wapo ambao wamepata bahati ya kuolewa kutokea kwenye maeneo kadhaa ya biashara zangu..Wewe huoni ulifanya kosa la kuajiri ''randomly'' kama ulivyosema? Na umesoma vizuri na kuelewa nilichoandika? Mimi siku-suggest uajiri bila vigezo. Nimekutahadharisha tu kuwa kuangalia sura pekee bila tabia nzuri kwa wateja ni kosa! Nasema haya nikiwa na uzoefu mkubwa kabisa kwenye hizi mishe za bar. Ukiangalia sura tu utapata mafanikio ya muda. Mwanzoni itachanganya kweli kweli lakini baada ya muda utafeli. Tatizo la wabongo ni wabishi na wewe pengine unapata wateja wengi sasa hivi hivyo unadhani unajua sana kusimamia bar. Kama umeona nimejipumbaza basi sawa. Mimi nilidhani uungwana ungeshuruku kwa mawazo niliyokupa lakini umeamua kunifyatua.
Starfire, Ryan CornerLisa Ann, Keisha Grey and Allie Haze at Mommy's Girl
Segera Korogwe?Nenda pale KAZIMOTO PORK segera jamaa yupo vizuri pia 🤣🤣🤣
Napajua hapo nilishakula nyama hapo kama mara mbili hivi wapo vizuri sana..Nafanya mchakato wa kuiba mpishi wao flani hivi...Segera Korogwe?
Kuna chimbo lipo Karibu na mataa ya MAJUMBA-6 linaitwa MANDAWE balaa kwa kitimoto ya kuchoma
Dah! Ndipo unapoishi huko siku zote au upo huko kikazi...Mie nipo Arusha so kujua watu wa huko ni ngumu
Hivi korogwe kuna eneo pia linaitwa segera?Segera Korogwe?
Mpishi wa chapati yupo...Ingekuwa wakupika chapati ningekuja faster
sponge cake, zurbiani,pilau,biriani,asumin,mitron sambusa.trieangle,mutarbak,pizza,bagaMpishi wa chapati yupo...
Ukiacha chapati unaweza kupika nini kingine labda?
Kwa sasa unafanyia wapi shughuli zako?sponge cake, zurbiani,pilau,biriani,asumin,mitron sambusa.trieangle,mutarbak,pizza,baga
Fish finger,ni vitu vingi na ndo kazi yangu kupika