Hakuna kitu kigumu kila kitu ni muda tu wa kujifunza.Sio ngumu kama mnavyonadi..
Inahitaji muda tu wa kutosha kujifunza..
Kila kitu kipo you-tube.
Hakuna ugumu wowote
Adobe Dreamweaver.View attachment 2548115
Kwema?
Nahitaji just a simple website ambayo haina makorokoro mengi,iwe na mwonekano mzuri kwa ajili ya wedding photographer.
Niwe na upload picha na sehemu ya wateja wangu kuweka reviews.
Wateja teyari ninao hii website ni ya ziada tu.
Kama inafaa njoo tufanye biashara.
Sitalipa mpaka kazi yangu ikamilike.
Unatumia teknolojia gani nikupe kazi dogo?300k hiyo kazi inafanyika.
Unatumia teknolojia gani nikupe kazi dogo?
Weka samples ya kazi zakoWordpress itafaa zaidi.
Kwa upload rahisi na sehemu ya clients reviews
Weka samples ya kazi zako
Mmmmmmhmn wewe website bure? [emoji848]TUNANATENGEZA WEBSITE BURE. PAGE 3, UTALIPIA DOMAIN 25,000TSH & HOSTING 150,000TSH Mwaka mzima. +255763017461 www.brightdigital.co.tz
0766147466Youtube kuna mjamaa ana video ana rate watu wa fiver, upwork etc. Wa bei tofauit tofuit from cheapest to highest. Anawapa the same project na baadae anaonesha results za kila mtu. Ungeona utumbo wa hao watu wa $25 utafurah mwenyewe
Nakazia, huenda hajui mahitaji yake ndo maana ame quote 100kMuelimishe sasa mkuu,
Labda kiasi anachotoa ni kidogo na kwanini nikidogo? Labda Mahitaji ya kuandaa kazi yanagharimu pesa nyingi n.k
Au Mpe bei iliyopo sokoni ili akajipange vizuri.
πππ alisahau kusema " dunia ya tatu "[emoji3][emoji3] dunia haiwez Baki kinywa wazi bhana sema labda watanzania tubaki kinywa wazi