Nahitaji website kwa 100k

Nahitaji website kwa 100k

Kwema?

Nahitaji just a simple website ambayo haina makorokoro mengi,iwe na mwonekano mzuri kwa ajili ya wedding photographer.

Niwe na upload picha na sehemu ya wateja wangu kuweka reviews.

Wateja teyari ninao hii website ni ya ziada tu.

Kama inafaa njoo tufanye biashara.

Sitalipa mpaka kazi yangu ikamilike.
Njoo pm
 
Wengine hawa hapa wanaanza na 150K, ukikomaa utapata kwa hiyo OFFA YAKO

 
Ukiwa serious toa tangazo website ya kawaida haina makorokoro ni laki 5 maana bado hosting na domain hapo ni simple
 
Mwingine huyu hapa ndugu, achana na matapeli

Sasa huyo uloweka uzi wake si ni wa dovex huyo ambao hosting ya mwaka wanacharge 120,000 for 4gb storage na domain anauza 50,000 bado unamwambia mtu atapata website ya laki. Tena jamaa nae yupo hapo juu #27 hapo kaquote 600k.

Zingatia pia kuwa kwa media website 4gb storage haitoshi mana itajaa miezi tu aje akulaumu. Out of the 4gb kuna space itayoliwa na cpanel na mail configurations plus system cache etc.

Halafu pia watu wasiopenda kunyonywa ndio wanaopenda kunyonya.

Kwa haraka haraka simplest website haiwezi pungua laki6 everything included.
 
Customized hiyo! na baada ya muda inafungwa anakuja kudai hosting payment! Vitu vingine muwe mnauliza
Website ninayotumia nimetengenezewa na hao vijana wa 150K hadi 200K, huu ni mwaka sita inapiga kazi zangu kuuza samaki sato nchini na hakuna blah blah yoyote. Achana na matapeli
 
100k unapata website ya wordpress + Domain + Hosting assume unatumia free theme, kama unatumia theme ya kulipia inaweza fika hadi 200k, kwa themes za kulipia kama una ujuzi kidogo unaweza fanya mwenyewe, nyingi ni drag and drop tu.
 
Sasa huyo uloweka uzi wake si ni wa dovex huyo ambao hosting ya mwaka wanacharge 120,000 for 4gb storage na domain anauza 50,000 bado unamwambia mtu atapata website ya laki.

Zingatia pia kuwa kwa media website 4gb storage haitoshi mana itajaa miezi tu aje akulaumu. Out of the 4gb kuna space itayoliwa na cpanel na mail configurations plus system cache etc.

Halafu pia watu wasiopenda kunyonywa ndio wanaopenda kunyonya.

Kwa haraka haraka simplest website haiwezi pungua laki6 everything included.
Huyo mwingine wa 150K niliyemuweka HUMUONI KABSAA AU UMEFUMBA MACHO?
 
100k unapata website ya wordpress + Domain + Hosting assume unatumia free theme, kama unatumia theme ya kulipia inaweza fika hadi 200k, kwa themes za kulipia kama una ujuzi kidogo unaweza fanya mwenyewe, nyingi ni drag and drop tu.
Vijana wanataka kumtapeli hawa, theme za ku dowload tu kisha una drag na ku drop utadhani wamezi design wao? Hahahaha
 
100k unapata website ya wordpress + Domain + Hosting assume unatumia free theme, kama unatumia theme ya kulipia inaweza fika hadi 200k, kwa themes za kulipia kama una ujuzi kidogo unaweza fanya mwenyewe, nyingi ni drag and drop tu.
Big thanks,
Wacha nipambane,niki fail nitarudi kuomba msaada
 
Vijana wanataka kumtapeli hawa, theme za ku dowload tu kisha una drag na ku drop utadhani wamezi design wao? Hahahaha
Website za mamilioni zipo mkuu kama unapata Developer mzuri na Requirement zako zinatumia resource husika. Otherwise hizi za kina wordpress zaidi ya milioni ikifika labda uwe na Traffic kubwa na Plugins/content nyengine za bei.
 
Website za mamilioni zipo mkuu kama unapata Developer mzuri na Requirement zako zinatumia resource husika. Otherwise hizi za kina wordpress zaidi ya milioni ikifika labda uwe na Traffic kubwa na Plugins/content nyengine za bei.
Nafahamu kuna websites hadi za milioni 20, lakini sio hizi za hapa nchini
 
Kwema?

Nahitaji just a simple website ambayo haina makorokoro mengi,iwe na mwonekano mzuri kwa ajili ya wedding photographer.

Niwe na upload picha na sehemu ya wateja wangu kuweka reviews.

Wateja teyari ninao hii website ni ya ziada tu.

Kama inafaa njoo tufanye biashara.

Sitalipa mpaka kazi yangu ikamilike.
Nakuja PM huu mchongo nitaufanya mie mwenyewe
 
Website za mamilioni zipo mkuu kama unapata Developer mzuri na Requirement zako zinatumia resource husika. Otherwise hizi za kina wordpress zaidi ya milioni ikifika labda uwe na Traffic kubwa na Plugins/content nyengine za bei.
Nimeomba website tokana na kipato changu.
Naona nashambuliwa kwa jambo linalowezekana.
 
Website za mamilioni zipo mkuu kama unapata Developer mzuri na Requirement zako zinatumia resource husika. Otherwise hizi za kina wordpress zaidi ya milioni ikifika labda uwe na Traffic kubwa na Plugins/content nyengine za bei.
Website za million ni za makampuni, ukiwatajia laki sita wanaona ni mbaabishaji ila kwa individual laki sita kuanzia kwa watu wenye majina yao mtu anayefanya kwa laki tatu anatafta apate jina tu
 
Mkuu WordPress watu washa achana nayo haina security, asome joomla anunue template afanye modifications joomla free template hatoziweza
Kaka security ya nini?
Website ya portfolio tu na reviews.
Hakuna payment yeyote hapo itafanyika..
Wateja ninao,baada ya kufanya kazi na upload picha then nawa-link wateja wakawache reviews uko.
 
Back
Top Bottom