Nahodha wa Ipswich Town, Sam Morsy agomea kuvaa kitambaa cha Unahodha chenye Upinde kwa sababu za Kidini

Nahodha wa Ipswich Town, Sam Morsy agomea kuvaa kitambaa cha Unahodha chenye Upinde kwa sababu za Kidini

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mchezaji na nahodha wa Ipswich Town Sam Morsy ndio nahodha pekee wa timu za EPL aliyekataa kuvaa kitambaa cha unahodha chenye rangi za upinde zikiashiria LGBTQ plus wikiendi iliyopita, Sam alisema kwa imani ya dini yake (Uislamu) hatovaa kitambaa hicho.
1733228368268.png
Klabu yake Ipswich Town ilimruhusu kufanya kulingana na imani yake hivyo alivaa kitambaa cha kawaida katika mchezo wao ambao walifungwa goli moja bila dhidi ya Nortingham Forest, mchezaji mwingine aliyewai kugomea upinde ni Idrissa Gana Gueye akiwa PSG.

Sam Morsy ambae ni raia wa Misri amepongezwa na kada tofauti kupitia majukwaa tofauti nchini Misri kwa kitendo hicho.
 
Wazungu wana ajenda gani na ushoga? Kama kufirwa raha si wainjoi peke yao? Kwa nini walazimishe na wengine?
Hawalazimishi, ila umaskini wa waafrika ndio unaowalazimisha kufuata hela za wazungu. Ukitaka kujua hilo, nitajie mchezaji wa sasa hivi ambaye yupo kwenye ligi ya Afrika na ameshakuta ligi ya Uingereza imedhaminiwa na hao jamaa, ambaye akiitwa kwenda kucheza Ipswich au Nottingham Forest atakataa kwa sababu ya wadhamini. Kwa ufupi ni sisi waafrika ndio tunaolazimisha wazungu wabadilike, sio kwamba wao wanatulazimisha kutangaza tabia hiyo
 
Mimi hata soka la Ulaya na kwingine wanakoshabikia Usenge nimeshaacha kuangalia.

Niko busy na ligi ya Kenya,Bongo,Uarabuni na China.Na wao walileta Usenge naacha kabisa kufuatilia soka. Walaaniwe wanuka mavi.
soka la Afrika nalo limejaa ushirikina mno.

YESU NI BWANA & MWOKOZI
 
Back
Top Bottom