Nahodha wa Ipswich Town, Sam Morsy agomea kuvaa kitambaa cha Unahodha chenye Upinde kwa sababu za Kidini

Sijui kwann mashoga yamelenga sana mpira sio michezo mingine..Na yamefanikiwa maana sio rahisi mateam kuvaa mavitambaa ya ushoga inawezekana kuna pesa nyingi sana zimewekwa
 
Sijui kwann mashoga yamelenga sana mpira sio michezo mingine..Na yamefanikiwa maana sio rahisi mateam kuvaa mavitambaa ya ushoga inawezekana kuna pesa nyingi sana zimewekwa
Panaangaliwa penye mvuto wa watu wengi
 
Xhaka ni muislam ndo alivokwambia?
Mbona mnajifanyaga kila jambo jema ni lenu?
Afande wa Zanzibar ni dini Gani? Au huyo sio muislam?
Shaka ni muislam usibishe mkuu.
 
Xhaka ni muislam ndo alivokwambia?
Mbona mnajifanyaga kila jambo jema ni lenu?
Afande wa Zanzibar ni dini Gani? Au huyo sio muislam?
Xhaka ni muislam brother ana asili ya Albania eneo ambalo lina chimbuko la waislam wengi,a little digging will do.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…