Sidhani kama ni lazima, kumewahi kuwepo na Gavana Charles Nyirabu na Naibu Gavana Bob Makani wote wa bara.Gavana akiwa wa bara naibu wake anatoka Zanzibar and vise versa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani kama ni lazima, kumewahi kuwepo na Gavana Charles Nyirabu na Naibu Gavana Bob Makani wote wa bara.Gavana akiwa wa bara naibu wake anatoka Zanzibar and vise versa.
inawezekana mie ndo najua muundo wa zamani.huo mpya sijasikia.Ika uteuzi wa Gavana mpya umetamka tu naibu Gavana. Labda kama kuna structure mpya
kile kdg tunavyojua tuna share km hvElimu Bahari Mkuu, nimejifunza mengi kwenye huu uzi
Hujielewi ww kichwa maji.km hujui ni vema ukae kimyaGavana hajawahi fanya kazi TRA mjinga wewe
Chadema vichwa vyenu hopeless kabisa
Hiyo ndio ndio inavyotakiwa kuwa kwa taasisi zote za muungano mkuu. Ukiona wote Gavana na naibu wake wametoka upande mmoja basi jua upande wa pili wamekosa MTU mwenye vigezoNaona kama ndio imekuwa sasa ila sina uhakika
Ahsante Mkuu, ila ni mawazo yako au ndio uhakika wa hali ilivyo?Hiyo ndio ndio inavyotakiwa kuwa kwa taasisi zote za muungano mkuu. Ukiona wote Gavana na naibu wake wametoka upande mmoja basi jua upande wa pili wamekosa MTU mwenye vigezo