TANZIA Naibu Kamishina wa Polisi, Dhahiri Kidavashali afariki dunia

Terrible Teen

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2017
Posts
1,009
Reaction score
2,934
Kama kawaida ya mipango ya Mungu. Kamanda Athuman Kidavashali aliyekuwa kamishina wa Polisi Makao Makuu amefariki. Poleni sana Makamanda wote. Kifo hakina huruma kinambeba kila mtu awe mwalimu, polisi, mkulima, Rais, waziri na yeyote yule.

==========

Mkuu wa Jeshi la polisi,(IGP Simon Nyakoro Sirro anasikitika kutangaza kifo cha Naibu Kamishna wa Polisi, Dhahiri Kidavashari kilichotokea 17/11/2020 katika hospitali ya Dodoma Christian Medical Center Trust(DCMCT), Ntyuka jijini Dodoma alikokuwa akipatiwa matibabu.

 
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Simon Sirro ametangaza kifo cha Naibu Kamishna wa Polisi, Dhahiri Kidavashari kilichotokea leo katika Hospitali ya Christian Medical Center Trust (DCMCT ) iliyopo Dodoma ambako alikuwa akipatiwa matibabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…