TANZIA Naibu Kamishina wa Polisi, Dhahiri Kidavashali afariki dunia

TANZIA Naibu Kamishina wa Polisi, Dhahiri Kidavashali afariki dunia

DCMCT sana Huduma Nzuri sana


Ila mipango ya Mungu haizuiliki


R.I.P kamanda
 
Alikua kitengo gani hapo Dodoma. Wengi tunamjua Muroto, Murutunguru na Mamhosasa
 
Mimi bado nasubiri target wangu 10 waanguke ndio nimwage upupu hapa!
 
Hawa jamaa na wao wanakufaga kumbe ??
Kwanini wasife kila nafsi itaonja mauti ikiwemo wewe na mimi ni muda tu ingawa watu wa aina yako Mungu huwapa kipau mbele.

Nami nakuombea kwa kiwango hichohicho ulichomfanyia kiumbe wa Mungu kikurudie kwani mshahara wa dhambi ni mauti Amen
 
Dah, niliwasiliana nae ijumaa kuamkia jumamos wiki iliyopita. Ama kweli kifo hakibishi Hadi! RIP Kamanda.
 
Back
Top Bottom