CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Ameshapigwa kitu kudadadeq
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🚮🚮Magufuli angekuwa bado madarakani tungewapita kila kitu wakenya. Kenya ni siasa tu masaa 24
Ulitaka limtukane mama? Haitakuja kutokea 🇹🇿 kuwa na siasa za kipumbavu kama za Kenya ,sababu HiloLa kwetu kazi yake kubwa ni kumsifu Mama.Pale hakuna kitu ni mwendo wa kupotezeana muda.
Kamfufue sasa..Magufuli angekuwa bado madarakani tungewapita kila kitu wakenya. Kenya ni siasa tu masaa 24
Hakusema uongo😎Shujaa alisema SGR ya nchi jirani ni Gari Moshi 😂
Hahahaha we jamaa, eti kumbe anajua kugombeza kwa kiingereza..😀😀😀Spika wetu kawapiga mabeberu ngumi ya chembe juzi kati.
Ila yeye akirudi hataki mtu aseme asichotaka kusikia.
Ila amenifurahisha....kumbe anajua kugombeza kwa kiingereza?
Kwa wanasheria hili wala hatulishangai, katika kutoa ushahidi kuugua pia hutumika kama delaying tactics za kujipanga vizuri katika kutoa ushahidi, hasa ukishazsoma hoja za upande wa pili,inakupa nafasi ya kujipnga zaidi na kuchambua kile walichowasilishaLeo mchana muda wa saa nane na dakika 20 ulikuwa mahsusi kwa Naibu Rais wa Kenya Mh Rigathi Gachagua kutoa utetezi wake. Lakini Cha kushangaza wakili wake Mr Paul Muite akadai hapatikani. Ila baada ya muda wakili wake huyo akadai amewasiliana naye na kwamba yupo hospitalini kalazwa. Inakuaje kalazwa muda wa kutoa ushahidi wake?
Kuna kitu kakiona kaona aingie mitini?. Kwa Sasa seneti inajadili maamuzi ya namna watakavyoendelea na hili suala.
Kwa wanasheria hili wala hatulishangai, katika kutoa ushahidi kuugua pia hutumika kama delaying tactics za kujipanga vizuri katika kutoa ushahidi, hasa ukishazsoma hoja za upande wa pili,inakupa nafasi ya kujipnga zaidi na kuchambua kile walichowasilisha
Akifanya mchezoooo ataishiaaa hosptalini hawajuii vizuriiiKatika hali isiyotarajiwa, Naibu wa Kenya Rais Rigathi Gachagua ameripotiwa kuzidiwa na kupelekwa hospitalini zikiwa zimebaki dakika chache kabla ya kutoa ushahidi wake.
Wakili wake, Paul Muite, aliwaambia Maseneta kuwa Gachagua alizidiwa baada ya chakula cha mchana wakati akisubiri kesi ya kumwondoa madarakani iendelee .
Ikumbukwe kuwa leo, Maseneta walitarajiwa kupiga kura juu ya mashtaka 11 yanayomkabili Gachagua.
Muite alisema, “Ukweli mchungu ni kwamba Naibu Rais wa Jamhuri ya Kenya ameugua sana, na anapokea matibabu hospitalini."
Muite hakufichua ni hospitali gani Naibu Rais amepelekwa wala aina ya ugonjwa unaomsumbua.
Gachagua alitarajiwa kutoa ushahidi wake mwenyewe katika kesi hiyo ya kumvua madaraka yake kama Naibu Rais
Spika Kingi alisema,
“DP alitarajiwa kutoa ushahidi. Nilitangaza mpango uliotakiwa kufanyika mchana, na nikaeleza kuwa tutautekeleza mpango kwa umakini ili tumalize jambo hilo leo. Wakili Paul Muite alisema hawezi kumfikia mteja wake, lakini hilo si jukumu la Bunge. Seneti inamngoja Naibu Rais, hakuna Seneta mwingine atakayechukua nafasi hiyo."
Source: Nation Africa
Pia, soma: Yanayojiri katika Kesi ya kumuondoa Madarakani Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua leo Oktoba 17, 2024
Acheni kuna Mali za ummaYoyote alienkaribu na mzee wangu huyu
Namshairi hapa tulipofikia. Mzee hioo seneti inafanyaa comedy
Wana hukumu tayari washapewa maelekezo
So ushauri tu. Mzee wetu mpaka sasa hali sio nzuri hata ukirudi hao si wazuri tena kwakoooo
Kama huamini kaulize familia ya saitoti watakwambiaqq
Haya sio mambo ya kukomqq nayoo kumbuka una familia mzee wangu
Hizi hospt unazoenda kulazwa hawatokuacha salamaqa
Nakuwish all best n ur decision
Hawa wahuni bora apumzikee wameingia na matokeo uwanjanNaona seneti imemgomea Gachagua. Wameamua kuendelea
MshenzituRuto mvumilivu sana aisee...
Acha uongo hao jamaa wanajielewa sana.Magufuli angekuwa bado madarakani tungewapita kila kitu wakenya. Kenya ni siasa tu masaa 24