Naibu Spika Dkt. Tulia: Jesca Kishoa hii kauli yako either uifute, ofisi ya Spika haina taarifa ya wewe kuondolewa kwenye chama chako

kungekuwa na viti maalum vya wanaume leo Chadema hamna mtu angevuliwa ubunge. Mbowe, Lissu, Lema wangekuwa viti vya mbele kabisa bungeni sema ndio hivyo chama chetu hakiamini wanawake
 
Hiyo tunaiita "Dr Tulia Ackson ameamua kumuwekea Jesca Kishoa maneno mdomoni" Nadhani hii dhambi italitesa sana bunge la Ndugai.
 
CHADEMA waje hapa,kumbe hawakupeleka taarifa kwa spika kuhusu kuwavua uanachama wale COVID 19?!Hili walitolee maelezo,sisi wananchi tunajua wale so wabunge.
 
kungekuwa na viti maalum vya wanaume leo Chadema hamna mtu angevuliwa ubunge. Mbowe, Lissu, Lema wangekuwa viti vya mbele kabisa bungeni sema ndio hivyo chama chetu hakiamini wanawake
Hata wewe ukitaka utapewa hivyo viti maalum kupitia kwa chakubanga
 
Hii ni planned movie....speaker wamempanga Jesca aongee wapate pa kuanzia
 
Kuna uwezekano tanzania tukampata spika mwañamke kabla ya mwaka 2025.
Ndiyo maana wakati woote Ndugaye anaonekana mwenye mawazo mengi utadhani anamsaidia Bashiru .

Kwenye kuhuzunika
 
Kama hawajatimuliwa, hiyo idea ya kusema hadharani bungeni kuwa alifukuzwa imekujaje akilini kwake?? Daima ukweli haufichiki milele.

Ukweli una tabia ya kujipendekeza kutoka nje hata kama hutaki utoke. Ipo siku tu utakuponyoka na watu wataujua ukweli huo bila hiari yako!
 
A.K.A betina wa nzoovweee
 
Sidhani....Nahisi Kuna namna alitaka kuchokonoa mada na amefanikiwa kwa kiasi fulani.

Alichofanya Kishoa ni kuionyesha Dunia kuwa sisi kuwemo humu ndani sio kwa mapenzi yetu ila Kuna nguvu iliyonyuma yetu.
Ndugaye leo kaumbuka
 
Waswahili wanasema "Mficha maradhi, kifo humuumbua"
Vitabu vitakatifu vinasema "Dhambi huua na huumbua mtu hadharani" 'Aonywaye mara nyingi akishupaza shingo huvunjika bila kupata dawa"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…