Anaeweza kufanya hivyo ni DAB pekee. Tumpe muda atawamusanya wananchi wa mkoa wake awatangazie.Hahaaaa unyanyasaji upi mkuu. Any way hakuna haja ya kumtaja mgonjwa hadharani bila ridhaa yake.
Nampongeza sana yule muathirika wa kwanza wa corona nchini mwetu aliyejitangaza bila kupepesa macho.Ugonjwa na kifo, kwa mtu mwenye akili, siyo kitu cha aibu. Mtu yeyote kuwa mzima au mwenye afya njema, hawezi kujisifu kuwa ni kwa sababu ni mwerevu au mwema sana.
Serikali imefanya kosa kubwa sana kupeleka taswira kwa wananchi kuwa ugonjwa huu au kifo kinachotokana na ugonjwa, ni kama aibu ya aina fulani. Sielewi kwa nini kumejengwa mazingira ya namna hii.
Posho watapokeaje?Weka Karantini wote hao haraka sana, hakuna kutoka. Hawa jamaa uwakilishi wao kwa wananchi does not involve Corona..., sijui na kwanini walishindwa kufanya Bunge kwa kutumia telecomference wakiwa majumbani kwao...
Du, we jamaa una kumbukumbu kweli wewe? Huyu si ndio alitwambiaga kwamba tusiogope colona mbona tunatongoza wanwake na ukimwi UPO!? Fananisha na wengine, sio huyu jamaa yako aliyekalia kiti kwa Bahati na sio uwezoNdio watu waelewe Makonda sio kichaa na hatafuti kiki kwa wanao mmbeza he is trying to save lives kutokana na anachokijua Dar.
Nje ya mada: Nime mmisi Mbunge MtuliaWamtaje Jina tu,mbona wenzetu ulaya Boris Johnson aliugua corona akajitangaza pamoja na mataibabu aliyokua akiyapata. Tuna usiri wa kipuuzi sana Tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Are you sure? Au umejisikia kusema tu?
Mbona Uk walimtangaza waziri mkuu wao? Hivi kuna shida gani akitajwa?
Na vile hapo Bungeni wana mpaka CANTEEN, wafungiwe tuu hapo hapo
Haswaa!
Chadema nayo ina wabunge kumbe! Bunge lao lipo wapi?Atakuwa wa CCM huyo, maana angekuwa wa Chadema wangeshamtaja kwa jinsi wanavyowatakia mabaya wabunge wa Chadema.
Mungu hadhihakiwi kamwe!
Corona ni ugonjwa wa kawaida Mkuu, sema Wazungu wame overreact na sisi temepokea hivyo Hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninyi ndiyo Magufuli akiwaambia mchanga ni chakula hsmkawii kuanza kuugombania.. Shtuka ndugu Covid ni hatariCorona ni ugonjwa wa kawaida Mkuu, sema Wazungu wame overreact na sisi temepokea hivyo Hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ohoooo....!
Hajazungumzia jinsia na kambi yake?