Siungi mkono hoja hii. Rais anahamasisha tuchape kazi. Hivyo, yeye, mawaziri, wabunge wawe mfano kwa kuendelea na majukumu yao kama watanzania wengine.All in all,mikusanyiko, ikiwemo ya vikao vya Bunge,ndio huchangia kusambaa kwa maambukizi na hii ndio hoja ya msingi hapa.